Arusha: Kamanda wa Polisi ACP Shana ampa onyo Godbless Lema kuhusu picha za barabara mbovu

Arusha: Kamanda wa Polisi ACP Shana ampa onyo Godbless Lema kuhusu picha za barabara mbovu

Tena yule mzalendo aliepiga picha za yale makorongo barabarani alikuwa anawajulisha wahusika ili wachukue hatua

Sasa kama ndio wanamkomalia hivi dawa ni kuzisambaza ulaya na Marekani na Mataifa ya Asia ili watalii wa ahirishe kuja kwa sababu wao (CCM) ndio wanamwaga mboga.
 
February 17, 2020

Katazo la kupiga picha mbugani

Kamanda wa Polisi mkoa wa Arusha, ACP Jonathan Shana atoa tamko kali la onyo huku akigonga mimbari ya press conference wakati akijibu maoni ya Mh. Godbless Lema mbunge wa Arusha mjini kuhusu picha za barabara mbovu za mbunga zilizopo nchini Tanzania



Kamanda huyo wa Polisi wa Mkoa alisisitiza maagizo ya Mkuu wa Mkoa wa Arusha yatatekelezwa na kuwataka waTanzania kukubali katazo hilo bila shuruti. ACP Shana alilisisitiza uzalendo kwanza katika awamu hii ya tano ya uongozi.

Source: Azam TV

Huyu alipataje kuwa RPC ?
 
Kwamba ukituma ukweli huu kwa ccm unapaswa kufunguliwa kesi ya uhujumu uchumi_ K ( 800 X 640 ).jpg
 
Hivi uzalendo maana yake nini?

Kwani ni kukaa kimya tu hata ukiona jambo fulani haliendi sawa? huo sio uzalendo, ni uzuzu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Khaaa! Huyu Kamanda vipi tena mbona ana mizuka ya kiccm?

He is there to enforce the laws sio kutuhubiria uzalendo feki!

Uzalendo ni kujenga barabara nzuri ili watalii waongezeke tupate mapato sio kugonga gonga meza kwa mizuka!

Ati "jeshi kabambe"......Damn, these people are so ignorant!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
February 17, 2020

Katazo la kupiga picha mbugani

Kamanda wa Polisi mkoa wa Arusha, ACP Jonathan Shana atoa tamko kali la onyo huku akigonga mimbari ya press conference wakati akijibu maoni ya Mh. Godbless Lema mbunge wa Arusha mjini kuhusu picha za barabara mbovu za mbunga zilizopo nchini Tanzania



Kamanda huyo wa Polisi wa Mkoa alisisitiza maagizo ya Mkuu wa Mkoa wa Arusha yatatekelezwa na kuwataka waTanzania kukubali katazo hilo bila shuruti. ACP Shana alilisisitiza uzalendo kwanza katika awamu hii ya tano ya uongozi.

Source: Azam TV

Zaidi, soma: Uhujumu Uchumi: RC Arusha ataka waliosambaza video ikionyesha barabara mbovu mbugani kukamatwa mara moja
Hahah ! wonder shall never last.. [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Poor Shana, what a fucking statement is this..?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni kosa sana kupiga picha ukiwa na nia ya kuhujumu utalii, siasa fanyeni huko Dar, lakini mkianza kungilia mpaka maeneo ya watalii, mnakosea kwa kweli. Kama vipi piga picha kisha kamuonyeshe mkuu yeyote ili ifanyiwe kazi.
Picha za barabara mbovu Dar huko ni sawa hata ukianika kwenye mitandao, lakini jaribu kutumia busara sio kila kitu siasa.
 
February 17, 2020

Katazo la kupiga picha mbugani

Kamanda wa Polisi mkoa wa Arusha, ACP Jonathan Shana atoa tamko kali la onyo huku akigonga mimbari ya press conference wakati akijibu maoni ya Mh. Godbless Lema mbunge wa Arusha mjini kuhusu picha za barabara mbovu za mbunga zilizopo nchini Tanzania



Kamanda huyo wa Polisi wa Mkoa alisisitiza maagizo ya Mkuu wa Mkoa wa Arusha yatatekelezwa na kuwataka waTanzania kukubali katazo hilo bila shuruti. ACP Shana alilisisitiza uzalendo kwanza katika awamu hii ya tano ya uongozi.

Source: Azam TV

Zaidi, soma: Uhujumu Uchumi: RC Arusha ataka waliosambaza video ikionyesha barabara mbovu mbugani kukamatwa mara moja


Lipolisi mavi linapojifanya limwanasiasa yaani kidogo nitapike!

Zee mavi kweli lile!

Utadhani katibu la ccm la something huko!

Hovyo sana lile baba-mama!

Na lugha hovyo kabisa la ‘jeshi kabambe”...

Motherfvcker shut up!
 
Ni kosa sana kupiga picha ukiwa na nia ya kuhujumu utalii, siasa fanyeni huko Dar, lakini mkianza kungilia mpaka maeneo ya watalii, mnakosea kwa kweli. Kama vipi piga picha kisha kamuonyeshe mkuu yeyote ili ifanyiwe kazi.
Picha za barabara mbovu Dar huko ni sawa hata ukianika kwenye mitandao, lakini jaribu kutumia busara sio kila kitu siasa.

Askari,mkuu wa mkoa,wewe,yule,etc wote mmegeuka PR Managers wa serikali?

Hii ni fani mahususi,wanatakiwa wajibu PR Managers na sio nyie mamaeeeee

Yaani hii serikali bwana,kila kitu jeshi,mnafeli vibaya!

Na sanduku litawaumbua sana!
 
Kwa tafsiri hii ya uzalendo, mimi sifai wala sitamani kuitwa mzalendo.

Sio busara kuchanganya umasikini wa fikra na uzalendo, sio sawa.
 
Back
Top Bottom