last king of uscoch
JF-Expert Member
- Mar 21, 2015
- 2,728
- 3,980
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio wachoyo lakini bado wanalipa hata kule kwa mwajuma hapajachakaa🙂..Kule Singidani mzee baba kama tayari ni mme wa mtu halafu ndio first time unakanyaga unaweza ukajuta kwanini ulioa mapema... wale watoto zile figures unaweza ukasema wamezichonga kama kadarshian sisters lakini kumbe walaa vitu naturaaaaaal.
Hilo ni kweli mkuu halafu wote wasafi wakivaa na yale masweta ya baridi unatamani dar usirudi tenaWadau,nimebahatika kufika mikoa mingi sana Tanzania but kwa Arusha nimezima fegi kuna wanawake wazuri sana wana rangi flani hivi so natural wana figure nzuri,halafu waelewa na wajanja tofauti na wanawake wa Dar wengi wana uzuri wa kujitengeneza na wezi wezi tu,wanawake wa mkoa gani we unaona ni waZuri zaidi ya Chuga?
Hapa jirani na ninapoishi kuna mabinti wawili wa kinyiramba, sasa kwakuwa umesema sio wachoyo basi ngoja kesho ni test zari..Sio wachoyo lakini bado wanalipa hata kule kwa mwajuma hapajachakaa🙂..
Kuna jamaa anasemaga hizi ni kauli za kishujaa!.. Kusema fulani sio mchoyo unajiamini anaenda kukubania [emoji23]. Usije kuwa jamaa flani JF aliambiwa akaenda na buku 10 lake amkule ndugu yake ohoo!..Hapa jirani na ninapoishi kuna mabinti wawili wa kinyiramba, sasa kwakuwa umesema sio wachoyo basi ngoja kesho ni test zari..
Haaahah... basi ngoja niende huku nimejiandaa kisaikolojia kabisa na majibu yoyote yale. Na akinibania kesho nampunzisha tu baada ya siku mbili naamsha tena majeshiKuna jamaa anasemaga hizi ni kauli za kishujaa!.. Kusema fulani sio mchoyo unajiamini anaenda kukubania [emoji23]. Usije kuwa jamaa flani JF aliambiwa akaenda na buku 10 lake amkule ndugu yake ohoo!..
ahahaha another confession... natumaini wife hawezi kuona hii comment asije akakupiga marufuku kukanyaga singida.Nimezunguka sehemu kubwa ya Tanzania lkn nasema hili kutoka Moyoni: Singida Singida Singida ilitaka kunivunjia ndoa yangu. Singida kuna watoto wakali kiasi kwamba safari zangu zote huwa najitahidi kubalance muda nikalale Singida walau nisafishe macho (ikiwezekana nisafoshe mguu pia) then siku ifuatayo niendelee na safari. Achaneni na hao wenye meno machafu, nendeni Singida mkastaajabu uumbaji wa Mungu. Singida nitaendelea kuja naombeni wenyeji msinichoke.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe utakuwa wa mtu wa kusini aisei..! Wanwake wa Arusha ni mababy face hawa chura aisei kama wahindi wengi.Wadau,nimebahatika kufika mikoa mingi sana Tanzania but kwa Arusha nimezima fegi kuna wanawake wazuri sana wana rangi flani hivi so natural wana figure nzuri,halafu waelewa na wajanja tofauti na wanawake wa Dar wengi wana uzuri wa kujitengeneza na wezi wezi tu,wanawake wa mkoa gani we unaona ni waZuri zaidi ya Chuga?
Wewe ndiyo unawaelewa hawana viuno avae suruali haziwakai hahaha nilikuwa jana Thedony hakuna mademu labda wanachuo wa njiro wakifungua.
Hahahahaha,Kweli kabisa hapo tu kwenye dental appearance ndio huwa confidence yao yote inaisha ila ukimzoea sana anajiachia tu..... Mabrazamen wa dar wanapenda sana show offs, ujuaji mwingi na kuspend sana kwenye ma clubs hicho ndio kilikuwa kinawateka sana. Nakumbuka mwanangu Hamy B mtoto wa Tabata alijipigia sana hizo toto akitumia rav 4 yake na vichenji kidogo.
Sio hamy b huyu ambaye wengi tunamjua..Hahahahaha,
Umesoma na Hamy B mzee ???
Nakumbuka Joh Makini kipindi hicho anavaa misuluali mipanaa na walkman ya CD mkononi.
Hahaha, hatari sana. Watoto wa Arusha wanajidai wanaimba HipHop huku watoto wa Dar full kuoga.Sio hamy b huyu ambaye wengi tunamjua..
Ni jamaa mmoja jina lake halisi ni hamis bakari, mara nyingi yeye mwenyewe alipenda kujiita hamy b pale chuo, mzee wa totozi alijipigia sana toto zinazo shobokea masharobalo, mpaka zingine akawa anani pasia mimi na mimi naunganisha tu.
Huyo si mpati mzee.. alikuwa ni mwanafunzi wa chuo gani au anafahamika kwa nini hasa?Hahaha, hatari sana. Watoto wa Arusha wanajidai wanaimba HipHop huku watoto wa Dar full kuoga.
Hivi kuna fala moja alikuwa anaitwa Batei unamkumbuka ??? Alikuwa anauza duka la pamba!
Alikuwa anawapa madogo wa kiume pamba halafu anawafanya kitu nyeusi..Huyo si mpati mzee.. alikuwa ni mwanafunzi wa chuo gani au anafahamika kwa nini hasa?
Daaaah... aisee!! basi kama ni hivyo huyo jamaa alikuwa ni mafia na mshirikina sio buree tu. Lakini hao watoto wa dar naskiaga hiyo michezo kwao ni kawaida tu hasa wale walamba lips na wapenda supra..hahahahAlikuwa anawapa madogo wa kiume pamba halafu anawafanya kitu nyeusi..
Watoto wanatamani Supra na Clipper za bure wawe kama madogo wa Dar es salaam.
Hahahaha dogo aliniambiaga kuna machalii walifanyiwa hizo mavituz na huyo jamaaa aisee!
Mzee siku hizi siyo Dar tu, sehemu kibao naona hizo mishe zipo siku hizi. Japo Dar ndiyo kumezidi mzee, mimi kupeleka mtoto kwenda kusoma kule ni hatari sana.Daaaah... aisee!! basi kama ni hivyo huyo jamaa alikuwa ni mafia na mshirikina sio buree tu. Lakini hao watoto wa dar naskiaga hiyo michezo kwao ni kawaida tu hasa wale walamba lips na wapenda supra..hahahah