Arusha, Kilimanjaro. Kuna ongezeko kubwa la viwanda bubu vya pombe za makopo

Arusha, Kilimanjaro. Kuna ongezeko kubwa la viwanda bubu vya pombe za makopo

Bushmamy

JF-Expert Member
Joined
Aug 18, 2019
Posts
9,140
Reaction score
15,963
kila panapokucha panakucha na toleo jipya la pombe ,

Kuna ongezeko la kutisha la viwanda bubu majumbani vya utengenezaji wa kila aina ya pombe za makopo ambazo hazina viwango,jambo ambalo linahatarisha usalama wa wananchi hususani vijana.

Wananchi wengi wamekuwa wakilalamika serikali kushindwa kudhibiti ongezeko kubwa la viwanda bubu vya pombe za makopo ambazo hazina viwango wala ubora na kuhatarisha afya za vijana walio wengi na kupoteza nguvu kazi kubwa.

Baadhi ya watu wamekuwa wakitengeneza pombe hizo majumbani kwao na kusambaza katika maduka

ya mtaani pamoja na bar ama vilabuni.

Pombe hizo za makopo hazina viwango maalumu cha kilevi wala ubora na wanywaji wengi huishia kuvimba mashavu pamoja na kushindwa kufanya kazi ngumu.
 
Kuna ongezeko la kutisha la viwanda bubu majumbani vya utengenezaji wa kila aina ya pombe za makopo ambazo hazina viwango,jambo ambalo linahatarisha usalama wa wananchi hususani vijana.
Wananchi wengi wamekuwa wakilalamika serikali kushindwa kudhibiti ongezeko kubwa la viwanda bubu vya pombe za makopo ambazo hazina viwango wala ubora na kuhatarisha afya za vijana walio wengi na kupoteza nguvu kazi kubwa
Na viwanda vya bangi aina ya skanka vipo
 
Soko huko ni kubwa,kwanini viwanda visiongezeke mkuu.
Wachaga ni walevi sana

Nliwahi hudhuria harusi Yao,hata mda wa maids kuingia ukumbini bado,huku ndani tayari wazee wanayumba na kuangukaa
Sasa kwani sherehe ya harusi ni yanini kama sio kula na kunywa ungewakuta Kanisani au ofisini sawa.
acha WaENJOY
 
Hizo pombe nyingi hukata pia hamu ya kula, na kweli nguvu kazi inapungua maana watu hunywa kama chai, kama lunch pia...

Wachaga kwa kula na wakubwa hawajambi, si ajabu serikali ya eneo hilo inajua vizuri ila tayari kina mangi washawapooza kwa kichache.
 
Soko huko ni kubwa,kwanini viwanda visiongezeke mkuu.
Wachaga ni walevi sana

Nliwahi hudhuria harusi Yao,hata mda wa maids kuingia ukumbini bado,huku ndani tayari wazee wanayumba na kuangukaa
Kuna mahali pombe hamkunywi tuje kuishi huko?

Tarehe 30 November nilikua Singapore kwenye harusi ya kichagga na hakukuwa na pombe.
 
Kuna ongezeko la kutisha la viwanda bubu majumbani vya utengenezaji wa kila aina ya pombe za makopo ambazo hazina viwango,jambo ambalo linahatarisha usalama wa wananchi hususani vijana.

Wananchi wengi wamekuwa wakilalamika serikali kushindwa kudhibiti ongezeko kubwa la viwanda bubu vya pombe za makopo ambazo hazina viwango wala ubora na kuhatarisha afya za vijana walio wengi na kupoteza nguvu kazi kubwa.

Baadhi ya watu wamekuwa wakitengeneza pombe hizo majumbani kwao na kusambaza katika maduka ya mtaani pamoja na bar ama vilabuni.

Pombe hizo za makopo hazina viwango maalumu cha kilevi wala ubora na wanywaji wengi huishia kuvimba mashavu pamoja na kushindwa kufanya kazi ngumu.
Wachaga na biashara bubu ni chanda na pete. Ndio maana utajiri wao hauko wazi.
 
kila panapokucha panakucha na toleo jipya la pombe ,

Kuna ongezeko la kutisha la viwanda bubu majumbani vya utengenezaji wa kila aina ya pombe za makopo ambazo hazina viwango,jambo ambalo linahatarisha usalama wa wananchi hususani vijana.

Wananchi wengi wamekuwa wakilalamika serikali kushindwa kudhibiti ongezeko kubwa la viwanda bubu vya pombe za makopo ambazo hazina viwango wala ubora na kuhatarisha afya za vijana walio wengi na kupoteza nguvu kazi kubwa.

Baadhi ya watu wamekuwa wakitengeneza pombe hizo majumbani kwao na kusambaza katika maduka

ya mtaani pamoja na bar ama vilabuni.

Pombe hizo za makopo hazina viwango maalumu cha kilevi wala ubora na wanywaji wengi huishia kuvimba mashavu pamoja na kushindwa kufanya kazi ngumu.
Pombe inapaswa kupigwa marufu Kilimanjaro.
 
Back
Top Bottom