DOKEZO Arusha, Kilimanjaro kuna ongezeko kubwa la viwanda bubu vya pombe

DOKEZO Arusha, Kilimanjaro kuna ongezeko kubwa la viwanda bubu vya pombe

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'

Bushmamy

JF-Expert Member
Joined
Aug 18, 2019
Posts
9,140
Reaction score
15,963
Pombe kali za makopo ambazo hazina viwango, na nyingne kali za kupima kwenye vikombe ama glasi(sio gongo) ambazo hazijulikani zimetengenezwa wap na kwa kutumia nini.

Wanywaji wa Pombe hizo wamekuwa wakisema zinawapotezea kumbukumbu pindi wanywapo. Na wengine hupoteza fahamu hadi siku mbili .

Sababu za kunywa wanadai bei ni rafiki na kipato chao kwani pombe zenye viwango hawazimudu.
 
kikubwa TRA wapunguze tozo kwa viwanda vya pombe kali,itapunguza kuwa na utitiri wa viwanda bubu.
Na tbs wafanye kazi yao ipasavyo.
 
Kuna pombe inaitwa pingu hiyo unavoaza kuinywa kwanza inatakiwa uvae suruali, alafu kama suruali Yako ni bwanga Inatakiwa uifunge na kamba chini maana baada ya kunywa mda wowote unaweza kuharibu Hali ya hewa Kwa kuharisha, unakuta mwingine anakunywa anaharisha mpka anazima, Cha ajabu unakuta Bado wanaendelea kuitumia kama kawaida.
 
Pombe kali za makopo ambazo hazina viwango, na nyingne kali za kupima kwenye vikombe ama glasi(sio gongo) ambazo hazijulikani zimetengenezwa wap na kwa kutumia nini.

Wanywaji wa Pombe hizo wamekuwa wakisema zinawapotezea kumbukumbu pindi wanywapo. Na wengine hupoteza fahamu hadi siku mbili .

Sababu za kunywa wanadai bei ni rafiki na kipato chao kwani pombe zenye viwango hawazimudu.
Pale kwenu Narumu kuna viwanda vingapi?.
 
Back
Top Bottom