A
Anonymous
Guest
Wapo wanaoshea matunda, mihogo na viazi kwenye mitaro ya maji taka pasipo kujali afya za walaji, pia wapo wanaojisaidia pembezoni mwa eneo Hilo jambo ambao ni hatarishi Kwa afya za wananchi.
Pia wamekuwa kero Kwa watumiaji wa Barbara eneo la barabara limekuwa finyu kutokana na wao kufanyia biashara barabarani wanaweza pia kusababisha ajali, pia wanapanga bidhaa zao mbele ya wenye maduka ambao ni walipakodi HALALI...
Ninaomba mamlaka HUSIKA kufanyia kazi hili ikiwezekana wahamishiwe sehemu zingine na wafuate kanuni za utunzaji wa mazingira na wanapouza bidhaa hasa vyakula wasiweke chini barabarani kwani Kuna majitaka yanachafua vyakula hivyo vilevile vile wasitupe taka hovyo.