Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
50 CentsHate it or love it ...the undergrounds are on top and they gonna shine till their heart stops!!
Unamjua huyu mwamba?
Unamjua huyu mwamba?
huwa simkubali bashite, lakini kwa hili la landrover, nina uhakika CHADEMA wengi sana hawajafurahia, mioyo itawauma mwezi mzima. ameshaishika Arusha kaiweka mfukoni, hata akiondoka, impact tayari. arusha ile ya lema sio hii, watu wanaonekana wana furaha, badala ya kuwaza maandamano, wanawaza furaha. povu ruksa.Makonda ni shujaaa.....very creative.
Hii nchi watu wanawekwa mfukoni kirahisi hivyo? Hatarihuwa simkubali bashite, lakini kwa hili la landrover, nina uhakika CHADEMA wengi sana hawajafurahia, mioyo itawauma mwezi mzima. ameshaishika Arusha kaiweka mfukoni, hata akiondoka, impact tayari. arusha ile ya lema sio hii, watu wanaonekana wana furaha, badala ya kuwaza maandamano, wanawaza furaha. povu ruksa.
arusha yote sasaivi huwaambii kitu kuhusu bashite, na kura zote zitaenda ccm. kuna wakati nadhani watanzania tuamke, siasa zetu badala ya kuelekeza kwenye vyama vya upinzani, tupambane na mafisadi wakiwa hukohuko ccm. kwa kutumia mitandao na njia zingine za amani. mimi huwa sio muumini wa fujo, ila hoja.Hii nchi watu wanawekwa mfukoni kirahisi hivyo? Hatari
Makonda ni mfano wa uongozi katika taifa letu...ila kutokana na siasa matope la wana taifa ili,hata akishusha mana kutoka kutoka mbinguni watasema imechacha.huwa simkubali bashite, lakini kwa hili la landrover, nina uhakika CHADEMA wengi sana hawajafurahia, mioyo itawauma mwezi mzima. ameshaishika Arusha kaiweka mfukoni, hata akiondoka, impact tayari. arusha ile ya lema sio hii, watu wanaonekana wana furaha, badala ya kuwaza maandamano, wanawaza furaha. povu ruksa.
Go ahead envy me I'm rap's m.v.pHate it or love it ...the undergrounds are on top and they gonna shine till their heart stops!!
Ndio tulikua tumalizia malizia best era kwenye game ya rap saiv utumbo tunzuri sana hii
haya ndio matukio yanayotakiwa kupewa kipaumbele sio kila siku vurugu tuhuwa simkubali bashite, lakini kwa hili la landrover, nina uhakika CHADEMA wengi sana hawajafurahia, mioyo itawauma mwezi mzima. ameshaishika Arusha kaiweka mfukoni, hata akiondoka, impact tayari. arusha ile ya lema sio hii, watu wanaonekana wana furaha, badala ya kuwaza maandamano, wanawaza furaha. povu ruksa.
Vurugu za kila siku ziko nchi gani mkuu?haya ndio matukio yanayotakiwa kupewa kipaumbele sio kila siku vurugu tu