LGE2024 Arusha: Lema aagiza kufukuzwa kwa Wanachama waliofanya fujo uchaguzi wa CHADEMA

LGE2024 Arusha: Lema aagiza kufukuzwa kwa Wanachama waliofanya fujo uchaguzi wa CHADEMA

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
Wakuu

Kumeanza kuchangamka huko Arusha

Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Kanda ya Kaskazini Godbless Lema, ameagiza wanachama wote waliofanya fujo wakati wa zoezi la uchaguzi wa ndani wa chama hicho uliofanyika mkoani humo kufukuzwa uwanachama.
View attachment 3153951
Kwaiyo kwasabab hawakuwa wakimtaka yeye basi wafukuzwe?
 
Ndio CDM ya Mbowe hiyo, Lema alikuwa na mgombea wake mfukoni hiyo ndio demokrasia ya CDM.

Wanachama wanalalama kuzuiwa kuingia kwenye na kupiga kura, halafu kuna watu wana imani na CDM. Mungu wangu hata sijui unawasaidaje watu kama hao.
 
Kwaiyo kwasabab hawakuwa wakimtaka yeye basi wafukuzwe?
Lema aliwatoa kwa sababu alikuwa ana mgombea wake wa mfukoni.

Na muda wa kupiga kura ulivyofika alizima taa kama kawaida yake.

Chama cha Mbowe kimeshindikana kwenye kulazimisha Mbowe awe mwenyekiti wa milele,

Wanaweka watu wao kwa lazima zidi ya Heche kwenye kura za uenyekiti huko mbele ila wanachadema kwa wingi wao wanataka Mbowe atoke.

Kinachomlinda Mbowe ni hila tu, vinginevyo aliotoka nao mbali mpaka CDM ilipo wanataka aachie uenyekiti, ili nchi ipate upinzani wa kweli.
 
Lema aliwatoa kwa sababu alikuwa ana mgombea wake wa mfukoni.

Na muda wa kupiga kura ulivyofika alizima taa kama kawaida yake.

Chama cha Mbowe kimeshindikana kwenye kulazimisha Mbowe awe mwenyekiti wa milele,

Wanaweka watu wao kwa lazima zidi ya Heche kwenye kura za uenyekiti huko mbele ila wanachadema kwa wingi wao wanataka Mbowe atoke.

Kinachomlinda Mbowe ni hila tu, vinginevyo aliotoka nao mbali mpaka CDM ilipo wanataka aachie uenyekiti, ili nchi ipate upinzani wa kweli.
Harafu yeye anatoa maagizo ya watu kufukuzwa uanachama ni maana chadema ni chama Cha mfukukoni hakina kamati Wala mikutano ya wanachama
 
Harafu yeye anatoa maagizo ya watu kufukuzwa uanachama ni maana chadema ni chama Cha mfukukoni hakina kamati Wala mikutano ya wanachama
Huo ni ukweli wasiotaka kusikia wafuasi wa Mbowe.

Uhalisia ni kwamba ndani ya CDM viongozi waliotoka nae msituni Mbowe kwa sasa wamemchoka kabakiza Lema, Sugu na mtoto wake wa kufikia (Salum Mwalimu). Wengine wako tayari kwenda njia nyingine.

Kwa sasa Mbowe ni kan’gan’ga.
(hata sijui, ile picha yake naipata wapi).
 
Ndio CDM ya Mbowe hiyo, Lema alikuwa na mgombea wake mfukoni hiyo ndio demokrasia ya CDM.

Wanachama wanalalama kuzuiwa kuingia kwenye na kupiga kura, halafu kuna watu wana imani na CDM. Mungu wangu hata sijui unawasaidaje watu kama hao.
Misukule ya Mzee Mbowe ni shida aisee
Harafu yeye anatoa maagizo ya watu kufukuzwa uanachama ni maana chadema ni chama Cha mfukukoni hakina kamati Wala mikutano ya wanachama
ndio maana halisi ya SACCOS
 
Misukule ya Mzee Mbowe ni shida aisee

ndio maana halisi ya SACCOSMm
Kabisa

Hakuna namna nyingine ya kuita CDM zaidi ya ‘SACCOS’

Sema kuna watu wamechoka kuburuzwa na anaetaka kujimiliiisha taasisi ya umma.

Chama cha siasa ni mali ya umma, sio ya mtu kama Mbowe anavyoamini CDM ni mali yake; wenzake washamchoka.
 
Kabisa

Hakuna namna nyingine ya kuita CDM zaidi ya ‘SACCOS’

Sema kuna watu wamechoka kuburuzwa na anaetaka kujimiliiisha taasisi ya umma.

Chama cha siasa ni mali ya umma, sio ya mtu kama Mbowe anavyoamini CDM ni mali yake; wenzake washamchoka.
Lini Mbowe kasema kwa cdm ni mali yake?
 
Back
Top Bottom