Mawazo yako na ya kwangu na ya mamilioni ya watanzania yanalingana.Mama, tunaomba utupe makonda, Ally Happy na yule was arumeru-DC na Mulaga, baada ya hapo tawala nchi mpaka useme nimechoka
Kampe mbinu mpuuzi mwenzio kule Kisongo.Kuna kabila limefanikiwa kuungana na kueneza chuki mbaya mitandaoni kuchochea mabaya kwa Sabaya. Inawezekana kweli kuna mapungufu ya Sabaya, lakini yamekuzwa mno (exaggeration)
Mbowe ana mapungufu mangapi? Ruzuku ya milioni zaidi ya 300 per month, imefanya nini ndani ya chama? Mbona kifo cha chacha Wangwe walipiga kimya?
Serikali iwe makini, ikifanya kazi kwa michecheto ya wanamtandao itaumiza watu, especially vijana wazalendo.
Sent from my Android using JamiiForums mobile app
Leo hii ndiyo ataijua kuwa dunia ni mzunguko na mashaka uzunguka.Madhambi ya Sabaya hayakuchagua chama , hata hivyo aliwaumiza sana upinzani kuliko maccm
Kwiiisha habari zao hao majangiliBado wewe hii awamu haicheki na majambazi. Iyena iyena tupa kuleee hapa ni Haki tu
Hakuwa na jambo jingine la kuandikaKwako Ubunge unaona kitu cha maana sana sio?
Ukweli ni kwamba aliwashughulikia wapinzani chini ya maelekezo ya Rais na chama chake.ngoja akanyee debe sasa kama akili zako ni hizi.
Leo hii mchawi karogwaMbona hazungushi miwani kama ambavyo alikuwa anamzungushia ANNA RC. Akimuonya tabia zake na OCD wake.
Huyo OCD vipi hahusiki?
Makonda aliua zaidi bwana, kinachotukwamisha hapa ni mtu mmoja tu anaempendaAtrocities alizozifanya makonda hazipishani na za Sabaya
Mataga woote leo hii wanaona kizunguzunguKwahiyo kwako it was ok kwasababu aliumiza sana upinzani?
Kweli leo ndio. Leo King Kong III ntumie na. Ya kutolea nlale we chakarii
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]bangili imempendeza kweri-kweri.
Pedeshee ndamaa umechafukwa hatareeh, lol [emoji23][emoji23][emoji23]Bado wewe hii awamu haicheki na majambazi. Iyena iyena tupa kuleee hapa ni Haki tu
Siku zake zinahesabika tuMakonda aliua zaidi bwana, kinachotukwamisha hapa ni mtu mmoja tu anaempenda
Happi, chalamila, na makonda hawa watu wakifanywa km Sabaya, bas wananchi tutatulia wallah.Mama, tunaomba utupe makonda, Ally Happy na yule was arumeru-DC na Mulaga, baada ya hapo tawala nchi mpaka useme nimechoka
Kumbe Lile chozi lilikuwa sio bure alijua sasa kaisha. Akamuandalie kirago makonda maana naye anachunguzwa
Hadi youtube zipo labda kama wewe ni mnufaika wa ukoo waoMimi nahisi kuna chuki binafsi kuanzia kwenye uongozi wa juu..sio bure...kwa sababu kwa namna linavyoengelewa hili swala na ushaidi uliopo haviendani kabisa...mimi sijawahi kuona clip akimnyang'anya mtu pesa au kuvamia nq kuiba
Hakumbaka, ila alitaka endapo angeoneshwa chumba alicho lala pale hotelin.Alibakwa mchumba wa bil nenga?