Arusha: Lengai Ole Sabaya afikishwa Mahakamani kwa Uhujumu Uchumi, Utakatishaji Fedha

Naona hii itakuwa habari njema sana kwa wafuasi wa Mbowe.
Sasa watachekelea utafikiri jimbo la Hai watalipata tena.
By the way, Sabaya alipaswa kupewa tuzo ya heshima na CCM na siyo kushtakiwa. Huu ni usaliti kwa mpiganaji kama huyu.
Kimba sana wewe
 
Makonda mlisema akitoka tu ofisini labda aishi angani. Huyo hapo tena hata aliekuwa ana mkingia kifua hayupo!

Sabaya atatoka na mtaishia kumwangalia tu
Amini nakwambia wanaishi kwa mashaka sana hao watu hawana raha kama zamani na usifikiri kwamba shuruba hizo zitakuja ghafla bin vuuu...time yao itakuja mdogo mdogo
 
Chuki na visasi vinatengenezwa sasa hivi... ikija awamu nyingine yenye mlengo wa kushoto italipiza kisasi cha haya yanayofanyika kwa Sabaya. muangusha nchi uwa ni mwananchi.
Alianza jiwe kuweka visasi msijisahaulishe huu ndio wakati mliosema watu watakimbia mjini.

Alikuja kutoka maporini akatutisha sana ati tutakimbia mji, matokeo yake katuachia mji sasa kila mmoja ajiandae na tushajifunza nchi hapewi Tena mchunga ng'ombe.

Bakini hukohuko mnakuja mnaanza kuchukua matajiri. Bakini vichakani
 
Hehe..nyie masho.ga enh? wauza ngada..vyeti feke na wahujumu uchumi sio?
Wewe ita majina yote tumekuja mjini kusaka hela sio kuchunga mbuzi. Rudini vichakani mkalime maana mnatafuta sympathy za kijinga.

Mjini ni survival of the fittest sio mnakuja kulialia ndio maana miaka yote mitano hukusikia watu wakilalamika tulikuwa tunajua mmepanda baiskeli ya udongo.

Sponsor hufariki pia.
 
Chuki na visasi vinatengenezwa sasa hivi... ikija awamu nyingine yenye mlengo wa kushoto italipiza kisasi cha haya yanayofanyika kwa Sabaya. muangusha nchi uwa ni mwananchi.
Tubu"
Usimtetee mtu ambaye aliumiza wananchi. Na amepelekwa mbele ya vyombo vya sheria ili apate haki yake.
Unahisi anasingiziwa?
Kwanini asingiziwe?
Ccm amsingizie ccm mwenzie kiasi hiki?
Genge lisikupofushe macho.
Tubu"
 
Time will tell sho.ga wewe.
 
Hajaona nawa makonda au hana ti vii
 
We naee
 
Nmejifunza 2015 watanzania walifanya kosa kubwa sana kumukabidhi nduli Amin Dada nchi, hayo ni matunda ya yule jamaa
 
Kwa jina la baba na la mwana na la roho mtakatifu amina
Leo nimepata furaha kubwa sana maishani
Mama nasema asante
Viva samia Hassan
Dah...wakati unapata furaha huku....Kule bandari wamepiga tayari Yale makontena ya makinikia [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji2960]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…