King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 56,205
- 79,515
Utter Non Sense!!!Leo serikali imeruhusu rasimi Chanjo kuanza kutumika Tanzania lkn kwa akili kubwa watawala wakaona isiwe nongwa kutukanwa mitandaoni na kuhojiwa hojiwa ikabidi liingizwe hili suala la SABAYA kiukweli hakuna aliyethubutu tena kulipa kipaumbele suala la Kuruhusu Chanjo leo wengi wao wamejikita kufuatilia suala la SABAYA...
mpumbavu ni huyu hapaUkiona mtu hataki upumbavu
Umeona n swali Hilo mse.ge Wewe.
Nadhani umemuona aliyepaswa kufunga bakuli.kaa kimya only fact ndo ufungue bakuli
Yawezekana huyo ni mkewe... ameshasahau kuwa wako walioteswa na huyo mumewe na sasa anapata malipo ya matendo yake... si huyo tu na wengine waliotumia ofisi kwa manufaa yao moto uko njiani kuwawakia...Ebu tujadili mambo ya.maendeleo Sabaye tuiachie serikali na mahakama.Ebu waza wazo la maendeleo basi usiwe kama ulivyo mwakani
Hao wanaomsubiri mwanaume mwenzao wafanye nae hivyo kwani ni mashoga ?Siku ya leo akipelekwa "GEREZA LA KISONGO" mara baada ya kusomewa mashtaka, mapoloo wa "CHADEMA/ACT" wanamtoa marinda yote 32.
Narudia tena, siku ya leo akipelekwa kisongo, wanamzibua mtaro mapema sana.
Narudia kwa sauti kubwa, watu huko "GEREZA LA KISONGO" wameshaanza shamra shamra za kumpokea "MWALI WAO". Maandalizi yanafanyika huku shangwe ikitamalaki na wafungwa wakijiburudisha na ule wimbo wa "Dada huyooo, kashaolewaaa!!! Na mahaariii, ishatolewaaa!!! mahariiii ishatolewaaaa!!!". Kungwi wa gereza anamsubiri ili amfunde ipasavyo.
● Mungu amlinde Mama Samia, Mungu amlinde Kamanda Salum Hamduni.
● Hatimae tumepata viongozi wanaosimamia "HAKI & UTU", japo hawawezi kutufurahisha raia wote millioni 60, ila mdogo mdogo tutafika.
Ona ili chizi la dikteta magufuli nalo!!!Leo serikali imeruhusu rasimi Chanjo kuanza kutumika Tanzania lkn kwa akili kubwa watawala wakaona isiwe nongwa kutukanwa mitandaoni na kuhojiwa hojiwa ikabidi liingizwe hili suala la SABAYA kiukweli hakuna aliyethubutu tena kulipa kipaumbele suala la Kuruhusu Chanjo leo wengi wao wamejikita kufuatilia suala la SABAYA
Kingine ambacho kina mlengo wa SABAYA ambacho wapinzani uchwara hawajakijua ni kwamba SABAYA ni mkakati wa kisiasa kuiangamiza CHADEMA na kuibua upinzani na muda si mrefu Tundu Lisu wakishirikiana kwa karibu kabisa na NYALANDU atakuwa mtetezi wa SABAYA na hapo Tundu Lisu atatangaza kuhamia ACT WAZALENDO ya Zito kabwe itakayombeba SABAYA na wanasiasa wengine wenye msimamo wa kijamaa kutoka CCM haya Mambo hayaji kwa bahati Mbaya ni mojawapo ya mbinu 100 ya CCM
Propaganda tupuLeo serikali imeruhusu rasimi Chanjo kuanza kutumika Tanzania lkn kwa akili kubwa watawala wakaona isiwe nongwa kutukanwa mitandaoni na kuhojiwa hojiwa ikabidi liingizwe hili suala la SABAYA kiukweli hakuna aliyethubutu tena kulipa kipaumbele suala la Kuruhusu Chanjo leo wengi wao wamejikita kufuatilia suala la SABAYA
Kingine ambacho kina mlengo wa SABAYA ambacho wapinzani uchwara hawajakijua ni kwamba SABAYA ni mkakati wa kisiasa kuiangamiza CHADEMA na kuibua upinzani na muda si mrefu Tundu Lisu wakishirikiana kwa karibu kabisa na NYALANDU atakuwa mtetezi wa SABAYA na hapo Tundu Lisu atatangaza kuhamia ACT WAZALENDO ya Zito kabwe itakayombeba SABAYA na wanasiasa wengine wenye msimamo wa kijamaa kutoka CCM haya Mambo hayaji kwa bahati Mbaya ni mojawapo ya mbinu 100 ya CCM
Sabaya ni jambazi shoga,, naona hawala zake mnajipa matumaini hewa, ndogo zitachacha Izo, b'asha wenu hatoki leoKila siku hua nasema Sabaya ni Target ya serikali.
Yaani hapo wanalo jambo lao
oInabidi walinzi wa mipakani wawe macho maana anaweza kutoroka huyu mtu kwani jela inamuita
Mtu mwenye rekodi chafu kama hii aliwekwaje kuhudumu ofisi za umma? Na waliomuweka walimuweka ili iweje? Je matendo aliyoyafanya hawapaswi kuwajibika nae?
View attachment 1808518View attachment 1808513
Je huyo Sabaya wako ndiye huyu aliyekamatwa na kitambulisho hiki au mwingine? Ukiweza kunijibu ninalo swali la nyongeza!
Nafikiri hata akiachiwa, atakuwa ni fundisho zuri kwa viongozi,kuwa cheo ni dhamana na tenda haki na kufuata sheria,utawala bora siku zote....Bonge la fundisho kwa wateule wote ambao wanapenda "Sifa,kiki,udhalilishaji na unyanyasaji"
Na hasa wale Viongozi wote wasiozingatia mipaka ya madaraka na majukumu yao.
Hii itawakunmbusha viongozi kuzingatia sheria,kanuni na taratibu katika kusimamia utekelezaji shughuli wanazosimamia.
Wengi walipenda kuingilia shughuli za wataalamu na kutengeneza kiki kwa kudhaliliasha watendaji.
Umenena vyema.Mahakama haijathibitisha bado kama Sabaya ni jambazi au la. Mpaka sasa yeye ni mtuhumiwa tu.
He is innocent until proven guilty. So let's just wait for the judiciary to decide.
Wekeni akiba ya maneno, hukumu yake inaweza kuwashangaza mkakosa ya kuongea.
Huyu alimzidi Makonda maana yeye alikua anakwenda front kupora yeye mwenyewe.Nahisi huyu hana tofauti na MAKONDA.
Naomba Musiba na Makonda wafuatieChini ya siku 30 toka atoke kujimwambafy pale clouds fm! Mama kamatia hapo hapo...bado Musiba, Makonda, Ali Hepi,
Musiba, Makonda walikua above the law.Naomba Musiba na Makonda wafuatie
Sisi tunataka waliomuua hata kama aliyefanya hicho kitendo ni wazazi wake bado wanatakiwa mbele ya mahakamaBen Sanane ndio nani?
mnauana wenyewe mnataka wawajibike wengine?
sasa mnaanza kusema hamkushinda uchaguzi kwa sababu hamukua na wagombea sahihi...
sasa mlichokua mnalalamika ni nini?
Sent from my COL-L29 using JamiiForums mobile app
Kiongozi wa serikali kutembea na gang la watu ambao sio polisi, sio mgambo na wala sio watu wa serikalini na kuwa na silaha huo sio ugaidi huo makonda nae ni miongoni mwa watu kama sabaya aitwe aulizwe ana tuhuma za kumtia hatianiAtrocities alizozifanya makonda hazipishani na za Sabaya