Arusha: Lengai Ole Sabaya afikishwa Mahakamani kwa Uhujumu Uchumi, Utakatishaji Fedha

Arusha: Lengai Ole Sabaya afikishwa Mahakamani kwa Uhujumu Uchumi, Utakatishaji Fedha

Leo serikali imeruhusu rasimi Chanjo kuanza kutumika Tanzania lkn kwa akili kubwa watawala wakaona isiwe nongwa kutukanwa mitandaoni na kuhojiwa hojiwa ikabidi liingizwe hili suala la SABAYA kiukweli hakuna aliyethubutu tena kulipa kipaumbele suala la Kuruhusu Chanjo leo wengi wao wamejikita kufuatilia suala la SABAYA...
Utter Non Sense!!!
 
Hivi nyinyi watu mboana mnahukumu msiyo yajua nyuma yapazi@ natamani hata nituk@ne kwa wote mn@oshangilia maku ....m@ nyie k@bis@
 
Ebu tujadili mambo ya.maendeleo Sabaye tuiachie serikali na mahakama.Ebu waza wazo la maendeleo basi usiwe kama ulivyo mwakani
Yawezekana huyo ni mkewe... ameshasahau kuwa wako walioteswa na huyo mumewe na sasa anapata malipo ya matendo yake... si huyo tu na wengine waliotumia ofisi kwa manufaa yao moto uko njiani kuwawakia...
 
Siku ya leo akipelekwa "GEREZA LA KISONGO" mara baada ya kusomewa mashtaka, mapoloo wa "CHADEMA/ACT" wanamtoa marinda yote 32.

Narudia tena, siku ya leo akipelekwa kisongo, wanamzibua mtaro mapema sana.

Narudia kwa sauti kubwa, watu huko "GEREZA LA KISONGO" wameshaanza shamra shamra za kumpokea "MWALI WAO". Maandalizi yanafanyika huku shangwe ikitamalaki na wafungwa wakijiburudisha na ule wimbo wa "Dada huyooo, kashaolewaaa!!! Na mahaariii, ishatolewaaa!!! mahariiii ishatolewaaaa!!!". Kungwi wa gereza anamsubiri ili amfunde ipasavyo.

● Mungu amlinde Mama Samia, Mungu amlinde Kamanda Salum Hamduni.

● Hatimae tumepata viongozi wanaosimamia "HAKI & UTU", japo hawawezi kutufurahisha raia wote millioni 60, ila mdogo mdogo tutafika.
Hao wanaomsubiri mwanaume mwenzao wafanye nae hivyo kwani ni mashoga ?
 
Katiba bora ni jambo la msingi sana.
Kama tukiendelea kukalia katiba iliyopo ya kusubiri matakwa ya mtu mmoja kuna siku nchi hii itapata kiongozi wa ajabu sana na stawateua watu kama akina Sabaya wawe maDC wilaya zote. Nchi itakua imeingia kwenye udikiteta rasmi.

Huwezi kuamini kama kijana kama yule anaweza kufanya mambo ya kifedhuli kama aliyoyafanya eti ni kuufuta upinzani nchini. Sijui alikua anayafanya Yale kwa faida ya nano. !!
Sijui PCCB , Tume ya utawala Bora ,serikali na Watanzania kwa ujumla walikua wapi mpaka mtu mmoja afanye uhalifu wote ule akiwa mtumishi wa umma. Bila shaka vyote hivyo havina nguvu mbele ya Mtu mmoja anayefanya uteuzi
 
Leo serikali imeruhusu rasimi Chanjo kuanza kutumika Tanzania lkn kwa akili kubwa watawala wakaona isiwe nongwa kutukanwa mitandaoni na kuhojiwa hojiwa ikabidi liingizwe hili suala la SABAYA kiukweli hakuna aliyethubutu tena kulipa kipaumbele suala la Kuruhusu Chanjo leo wengi wao wamejikita kufuatilia suala la SABAYA

Kingine ambacho kina mlengo wa SABAYA ambacho wapinzani uchwara hawajakijua ni kwamba SABAYA ni mkakati wa kisiasa kuiangamiza CHADEMA na kuibua upinzani na muda si mrefu Tundu Lisu wakishirikiana kwa karibu kabisa na NYALANDU atakuwa mtetezi wa SABAYA na hapo Tundu Lisu atatangaza kuhamia ACT WAZALENDO ya Zito kabwe itakayombeba SABAYA na wanasiasa wengine wenye msimamo wa kijamaa kutoka CCM haya Mambo hayaji kwa bahati Mbaya ni mojawapo ya mbinu 100 ya CCM
Ona ili chizi la dikteta magufuli nalo!!!
 
Leo serikali imeruhusu rasimi Chanjo kuanza kutumika Tanzania lkn kwa akili kubwa watawala wakaona isiwe nongwa kutukanwa mitandaoni na kuhojiwa hojiwa ikabidi liingizwe hili suala la SABAYA kiukweli hakuna aliyethubutu tena kulipa kipaumbele suala la Kuruhusu Chanjo leo wengi wao wamejikita kufuatilia suala la SABAYA

Kingine ambacho kina mlengo wa SABAYA ambacho wapinzani uchwara hawajakijua ni kwamba SABAYA ni mkakati wa kisiasa kuiangamiza CHADEMA na kuibua upinzani na muda si mrefu Tundu Lisu wakishirikiana kwa karibu kabisa na NYALANDU atakuwa mtetezi wa SABAYA na hapo Tundu Lisu atatangaza kuhamia ACT WAZALENDO ya Zito kabwe itakayombeba SABAYA na wanasiasa wengine wenye msimamo wa kijamaa kutoka CCM haya Mambo hayaji kwa bahati Mbaya ni mojawapo ya mbinu 100 ya CCM
Propaganda tupu
 
N
Bonge la fundisho kwa wateule wote ambao wanapenda "Sifa,kiki,udhalilishaji na unyanyasaji"

Na hasa wale Viongozi wote wasiozingatia mipaka ya madaraka na majukumu yao.

Hii itawakunmbusha viongozi kuzingatia sheria,kanuni na taratibu katika kusimamia utekelezaji shughuli wanazosimamia.

Wengi walipenda kuingilia shughuli za wataalamu na kutengeneza kiki kwa kudhaliliasha watendaji.
Nafikiri hata akiachiwa, atakuwa ni fundisho zuri kwa viongozi,kuwa cheo ni dhamana na tenda haki na kufuata sheria,utawala bora siku zote....
 
Mahakama haijathibitisha bado kama Sabaya ni jambazi au la. Mpaka sasa yeye ni mtuhumiwa tu.
He is innocent until proven guilty. So let's just wait for the judiciary to decide.
Wekeni akiba ya maneno, hukumu yake inaweza kuwashangaza mkakosa ya kuongea.
Umenena vyema.
Ila jiulize mbona watu wengi sana wamefurahishwa na kitendo Cha huyu jamaa kupumzishwa Kisongo?
Mbona watu wengi sana walifurahi sana huyu bwege alivyotumbuliwa?
Let's wait for justice to prevail but I am with the multitude.
Kitendo tu Cha kuvuliwa nguo pale Kisongo kwa usongo na kusachiwa mwilii mzima kimewafurahisha wengi japo kimempa usongo Sabaya.
 
Ben Sanane ndio nani?

mnauana wenyewe mnataka wawajibike wengine?

sasa mnaanza kusema hamkushinda uchaguzi kwa sababu hamukua na wagombea sahihi...

sasa mlichokua mnalalamika ni nini?

Sent from my COL-L29 using JamiiForums mobile app
Sisi tunataka waliomuua hata kama aliyefanya hicho kitendo ni wazazi wake bado wanatakiwa mbele ya mahakama
 
Atrocities alizozifanya makonda hazipishani na za Sabaya
Kiongozi wa serikali kutembea na gang la watu ambao sio polisi, sio mgambo na wala sio watu wa serikalini na kuwa na silaha huo sio ugaidi huo makonda nae ni miongoni mwa watu kama sabaya aitwe aulizwe ana tuhuma za kumtia hatiani
 
Back
Top Bottom