Arusha: Lengai Ole Sabaya afikishwa Mahakamani kwa Uhujumu Uchumi, Utakatishaji Fedha

Muendesha mashitaka ambae ni hakimu anaitwa KWEKA ni mchaga. Awezi akafurukita bwana Sabaya
 
Maraaaa paaaa kubwa la maadui Bashite nae kashitakiwa anapelekwa gereza la wahuni KEKO. Ni mwendo hulehule hahaha haha hahaha
 
Clouds TV wamhoji live tena kipenzi chao ili tusikie majigambo yake

Sent from my G80 using JamiiForums mobile app
 
Hiyo hoja yako naona kama vile unataka kutuaminisha kuwa mtuhumiwa hatapata haki,kwa vile mwendesha mashtaka ni mchaga...'that's too low'!
Muendesha mashitaka ambae ni hakimu anaitwa KWEKA ni mchaga. Awezi akafurukita bwana Sabaya
 
Atavuna alichokipanda ,kama haki unaona haitotendeke,mpelekee wanasheria bora wa dunia wakamtetee huyo mbakaji.
Hilo ni dili kwa wanasheria wakale mipesa yake ya wizi. Sema wanasheria wakumbuke kutoka fungu la kumi, maana pesa za Moto sana
 
Kwa nini haki asipate apo na wakati ameiba na imethibitishwa au wewe ndio ukumbuki
Exactly...mie sijapinga na haki atapata tu, based on 'ushaidi uliopo' na sio kwa kigezo kuwa mwendesha mashtaka ni kabila fulani, kwa hivyo labda atamwonea kama alivyotaka kusuggest mtoa hoja.... kazi iendelee.
 
Mh lakini hapo utawala wajue huyu pamoja na yote alikuwa kiongozi kwa watu kumtenda hivi mh sijui Kama NI busara
 
1. Sabaya alijipatia Sh90 milioni kutoka kwa mfanyabiashara, Francis Mroso mkazi wa kwa Mromboo

2. Wanadaiwa walimfunga pingu na kumpiga Bakari Msangi ambaye ni diwani wa CCM kata ya Sombetin na kumuibia Sh390,000

3. Sabaya na walinzi hao wanatuhumiwa kumpiga, kumtishia silaha na kumpora Ramadhani Ayoub simu na Sh35,000.

Kama sijakosea hayo juu ndiyo madai aliyosomewa Jana na ndio mtoa uzi ameyanukuu kuhusu kujipatia pesa kwa njia za ujambazi halafu gazeti la RAIA MWEMA linasema OLe Sabaya alikutwa na BILIONI TATU benki!!!!

Kumbe kumbe kuwa Bilionea Tanzania rahisi sana!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…