Full Blood Picture
JF-Expert Member
- Jan 7, 2021
- 2,223
- 3,961
😅😅umeomuona jambazi kuu alivyopozi [emoji23][emoji23][emoji23]
Huyo mfanyabiashara ataitwa, ataonywa akanushe au afilisiwe, sabaya atatoka mshindi..
Natamani nijue mbinu za ibilisi aliyekuwa anamsema bwana sir buyerUmebashiri vyema,lolote linawezekana.Hasa pale sabaya aliposema ataweka mambo yote hadharani,kama chama kinahusika.Kesi itatupiliwa mbali
Haya yote kisa chini ya Sabaya Mbowe amekwana kurudi bungeni. BTW kesi iko mahakamai- mbona kama mnaingilia uhuru wa mahakama?View attachment 1817705
Huyu anayepigwa hapa si jambazi. Ni mfanyabiashara aitwaye Ally Asaad Ajirin, anayemiliki duka la Shaahidi Stores lililopo Barabara ya Nyamwezi jirani na Soko Kuu, Arusha. Anapigwa na aliyekua DC wa Hai, Lengai Ole Sabaya pamoja na mabaunsa wake. Sabaya ndiye anayeongoza kipigo hicho...
Wewe na akili zako timamu unaweza ukawa unapiga ubao au mbuzi ndani ya duka huku unamfokea?Jamaa anachomoka hapa hakuna ushahidi kwamba mtu alikuwa akipigwa hatujui aliyigwa ni mtu,ng'ombe au mbuzi au ubao.....
subirini wakati wa hearing mtashangazwa
Mgeni mahakamani ww !!!bila ushahidi mwingine huyo mtu hajawa properly identifiedWewe na akili zako timamu unaweza ukawa unapiga ubao au mbuzi ndani ya duka huku unamfokea?
Mnaupiga ubao huku mnaufokea?
Hachomoki
You wanna Go home or wanna go to jail?my man [emoji23][emoji23]
Is not what you know is what you can proveYou wanna Go home or wanna go to jail?
Asante sana Mwenyezi MUNGU kwa kulifyekelea mbali li Meko.View attachment 1817705
Huyu anayepigwa hapa si jambazi. Ni mfanyabiashara aitwaye Ally Asaad Ajirin, anayemiliki duka la Shaahidi Stores lililopo Barabara ya Nyamwezi jirani na Soko Kuu, Arusha. Anapigwa na aliyekua DC wa Hai, Lengai Ole Sabaya pamoja na mabaunsa wake. Sabaya ndiye anayeongoza kipigo hicho...
Babu Kijana..makosa ya huyo bhana Sabaya ameyafanya nje ya Wilaya yake kikazi..ndio maana ameshitakiwa nje ya Mkoa wa Kilimanjaro. Ila ukuu wake wa Wilaya hakutakiwa uvuke Hai. Makosa ya mashitaka ni uhalifi alioufanya ama kuwafanyia wakazi wa Arusha tuu. Labda Hai watakuwa na mashitaka yao baadaeUnaongea nini?Huyo Sabaya atashughulikiwa kwa makosa yake,i dont care.
Mbowe na Sabaya hawapishani chochote.
Ashafanya sana ufirauni pale bills kwa mabinti mabarmaid.
Anyway mi si mwanasiasa wala sishabikii chama chochote.
Sabaya akikutwa na mashtaka ashitakiwe,
ila sijapenda watu kushadadia hilo
Inaweza kukukuta hata wewe saa yoyote.
Usiniite Bwege elimu yangu ya sjeria huijui.Unajua sheria we bwege? Inatakiwa mahabusu asikae rumande zaidi ya wiki mbili.