kajengwa makunduch
Senior Member
- Sep 28, 2019
- 108
- 200
Lugha imekuja meli hii .goes around come around .deal done
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo jambazi mwenzio Sabaya alimung'oa mbowe hai kwa njia haramu. Kwa kutumia uhalifu. Chama Cha Mapinduzi hatukumtuma kwenda kufanya uhalifu kwa wapinzani, wananchi na wafanyabiashara wa kilimanjaro na Arusha.Kazi yote aliyofanya Sabaya ya kumng'oa Mbowe pale Hai leo hii analipwa kwa kushikiwa "bastola" kama jambazi?
Aisee!!!!!
Kura haziamui Rais. Ndio maana hata Zanzibar Rais kasimikwa na jeshi na hakuna kitu cha kufanyaMkuu umesahau mama hawezi mgusa msukuma yeyote atacheza na hao masai na makabila mengine ila sukuma gang akiwagusa hata watu 10 tu hana uraisi
Makonda ni mtu safi san, angekuwa na makosa hata JPM angekuwa na makosa.Bado Makonda.
Yupo anadunda mtaani... hapangiwi ratiba ya kula na kulala kama SabayaHata hivyo Mbowe siyo mbunge wa Hai tena.
Ngoja nitume jamaa awapelekee wana vumbi la Congo huko Kisongo kitafunwa kinakuja.Siku ya leo akipelekwa "GEREZA LA KISONGO" mara baada ya kusomewa mashtaka, mapoloo wa "CHADEMA/ACT" wanamtoa marinda yote 32.
Narudia tena, siku ya leo akipelekwa kisongo, wanamzibua mtaro mapema sana mbwa huyu.
Narudia kwa sauti kubwa, watu huko "GEREZA LA KISONGO" wameshaanza shamra shamra za kumpokea "MWALI WAO". Maandalizi yanafanyika huku shangwe ikitamalaki. Kungwi wa gereza anamsubiri ili amfunde ipasavyo.
● Mungu amlinde Mama Samia, Mungu amlinde Kamanda Salum Hamduni.
● Hatimae tumepata viongozi wanaosimamia "HAKI & UTU", japo hawawezi kutufurahisha raia wote millioni 60, ila mdogo mdogo tutafika.
Ona ulivyo na Akili za kijingaNaona hii itakuwa habari njema sana kwa wafuasi wa Mbowe.
Sasa watachekelea utafikiri jimbo la Hai watalipata tena.
By the way, Sabaya alipaswa kupewa tuzo ya heshima na CCM na siyo kushtakiwa. Huu ni usaliti kwa mpiganaji kama huyu.
Dah nyie kizazi cha sasa nyie. mnajiooona.Hii Kuchuchumaa pia ipo kwenye sheria ?
Sio kwamba namtetea jamaa ila two wrongs does not make a right...., Huyu Jamaa adhibitiwe na kuhukumiwa kisheria na ikibainika sio tu kwamba achuchumae hata kama sheria inasema apigwe bakora na apigwe..., ila kabla ya hapo nadhani hii ni wrong precedent
***** walahiKarucee kuja umuone black beauty leo anachuchumalishwa na wanaume.
Bashite na lile sambwanda watu watatoana macho kuwahi mzigo
Ni kweli. Nashangaa kwanini aliachiwa aendelee kuwa DC. Hakufaa toka mwanzoniHuyo jambazi mwenzio Sabaya alimung'oa mbowe hai kwa njia haramu. Kwa kutumia uhalifu. Chama Cha Mapinduzi hatukumtuma kwenda kufanya uhalifu kwa wapinzani, wananchi na wafanyabiashara wa kilimanjaro na Arusha.
Matendo ya Sabaya yakihalifu hayawezi kuharalishwa kwa kumuondoa mbowe hai. Mbona kina Sugu waliondolewa mbeya lakini wakuu wa wilaya kule hawakufanya uhalifu?
Kwamba JPM hakuwa na makosa? Sabaya na Bashite ni pacha identical.Makonda ni mtu safi san, angekuwa na makosa hata JPM angekuwa na makosa.
Hahaha aliona black flani hivi iliyotulia, leo inaonekana black ya mkaa uliotumika@karucee alidanganywa na kamera. Aje aone black byutii yake ilivyofubaa.
Kazi anayo... Yeye aonae sirini amlipe sawasawa na haki yakeMkuu stress naskia Ana kesi zaidi ya 90 nyingi za ubakaji
Corona ishukuriweHuwezi amini kabisa kuwa haya yote yanatokea ndani ya miezi miwili tu.. 60 days[emoji134][emoji134][emoji849][emoji849]
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app