Arusha: Mahakama yamkuta Lengai Ole Sabaya na kesi ya kujibu

Watamtukana matusi yote lkn Mungu ni wa ajabu Magufuli ataendelea kuwa kiongozi bora sana kuwahi kutokea tanzania real patriotic
 
Mmh....!!

Kwani hufuatilii kutambua kuwa Sabaya yeye mwenyewe ana makosa na amekiri kuyafanya...?

Sasa inawezekana vipi makosa na dhambi zako wewe zimchafue mtu mwingine asiyehusika nazo kwa namna yoyote kuzitenda...?

Kama itathibitika kushirikiana kuyatenda na Magufuli, basi huko siyo huyu kumchafua yule bali wao wenyewe kwa umoja wao wanakuwa wamejichafua...!

Kwa hiyo, hapa ni HAPANA KUBWA, huna hoja yoyote bwashee...
 
Sio kweli mkuu, alichokisema alikithibitisha kwa kuwataja waliofaham inshu hyo na wako hai ikiweno makam wa rais wako
 
Umeeandika mambo mengi lakini ni upupu mtupu! Hakuna Mahali Sabaya kawahusisha hao watu na maovu yake!! Rudia kuusoma utetezi wake vizuri
 
Magufuli anaishi miyoni mwetu,hachafuku kwa propaganda za kijinga.

wakijitahidi sana wafanye zaidi ya alivyofanya kitu ambacho hawataweza.

nawashauri wawe wapole japo kalala HAWAMUWEZI.
 
Kuna dawa ya kufu
nga kuharisha huku kwetu, karibu upate. Naona umeachia uharo hapo juu, dhulumati mkubwa wewe!
 
Wewe ndo wale ilikuwa mtu akizungumzia haki tu anaitwa sio mzalendo, ni mhujumu uchumi, anatumika na mabeberu!
Hebu acha sheria ifuate mkondo wake au hujawahi ona mahakama ikimuhukumu kifungo marehemu?
 
Shujaa wenu alisoma but alibakia kuwa mbumbumbu hadi anaingia kaburini!
 
Magufuli hawezi kipendwa na upinzani hasa Chadema, huyu ndio kiongozi ambae hakutaka kujali kama Chadema wapo na wana ishi. alimpa heshima Mkuu wa Wilaya na sio Mbowe, uongozi na Chadema yake.

ALIHAKIKISHA MUDA WOTE AMEWAANGUSHIA KITU KIZITO WAHANGAIKE NACHO. ALI IRUDISHA NYUMA CHADEMA TAKTIBANI MIAKA 20.
 
Dada tafuta bwana mwingine ,Sabaya anafia jela , dikteta ndio alikuwa anampa kiburi Sabaya
 
Wakitaka kumchafua Magufuli wafanye kazi ya maana sio kwà Maneno tu.
Dikteta alishajichafua mwenyewe, kwa kubariki utekaji na uuaji,

Samia amekuta hazina ya Nchi empty, Tumuache akuze uchumi
 
Dikteta alishajichafua mwenyewe, kwa kubariki utekaji na uuaji,

Samia amekuta hazina ya Nchi empty, Tumuache akuze uchumi
Utakuwa huna hela wewe. Wanao jua kutafuta pesa wanaendelea Maisha.
 
Pumba tu hizi,

Sasa hata wakimchafua au wakimsafisha inasaidia nn kwa watanzania ?
 
Ni kweli, hii inatupa mzigo mzito sana sisi waandishi wa Legacy yake.
 
You have said it all. Ila wajue Hawatamchafua. Sasa yeye hayupo si waendelee tu na yao waone cha mtema kuni. Nadhani mwezi wa kwanza waliipata. Nakufanya U-Turn. Na tuko macho wazalendo wa Rohoni tumsikie anaemchafua Magufuli tutapambana nanyi mafisadi wakubwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…