Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
UtakichafuaJe kilichokwishachafuka?! Yeye mwenyewe kwa kuendekeza utawala wa wasiojulikana alishajichafua . Huwezi kuwa na mihimili inayofanya kazi ukaendekeza wasiojulikana.Mabeberu wanajua kazi aliyofanya magufuli tanzania miaka takriban sita kama rais wa jamhuri na mwenyekiti wa chama cha mapinduzi na kabla ya hapo miaka kama 20 kama waziri...
Umeandika utopolo mwingi sana,una maana Rais Samia yuko kwa ajili ya kumchafua mtu ambaye ameshakufa? Hivi kichwani kwako una akili au usaha tu?Mabeberu wanajua kazi aliyofanya Magufuli Tanzania miaka takriban sita kama Rais wa Jamhuri na mwenyekiti wa chama cha mapinduzi na kabla ya hapo miaka kama 20 kama waziri....
Na achafuke tu hamna namna kama yye alivyotumia kijigazeti uchwara cha msiba kuwachafua wengineMabeberu wanajua kazi aliyofanya Magufuli Tanzania miaka takriban sita kama Rais wa Jamhuri na mwenyekiti wa chama cha mapinduzi na kabla ya hapo miaka kama 20 kama waziri...
kumchafua marehemu mtu aliyelala milele na milele ni sawa na kupaka rangi upepoMabeberu wanajua kazi aliyofanya Magufuli Tanzania miaka takriban sita kama Rais wa Jamhuri na mwenyekiti wa chama cha mapinduzi na kabla ya hapo miaka kama 20 kama waziri...
Kwa hiyo hao walioumizwa hadi ushahidi wanao siyo wanadamu? Haki ni kwa sabaya tu!!! Hao walionyeng'anywa hela na kupigwa haki yao iko wapi? Hata hivyo sabaya mwenyewe kasema alitumwa na magu!!! Tunasubiri uhondo!!!!Mabeberu wanajua kazi aliyofanya Magufuli Tanzania miaka takriban sita kama Rais wa Jamhuri na mwenyekiti wa chama cha mapinduzi na kabla ya hapo miaka kama 20 kama waziri...
Nakumbuka kampeni ile dhalim aliteseka sana alikuwa kama gari ya mkaa,trip porini trip gereji.Wapinga maendeleo kumbe ni CDM
Mkawafanyia hujuma wasiwemo bungeni kisha mkawabeba baadhi Yao haohao wapinga maendeleo mkawaweka bungen kinyume cha Sheria na mmekomaa nao mpk leo...
Wanaoweza kumchafua ni wafu wenzake huko jehanam,huku alishasahaulikaWakitaka kumchafua Magufuli wafanye kazi ya maana sio kwà Maneno tu.
Hapo CHADEMA na Lissu wanahusikaje muzee? Taratibu acha kuchachawa.Mabeberu wanajua kazi aliyofanya Magufuli Tanzania miaka takriban sita kama Rais wa Jamhuri na mwenyekiti wa chama cha mapinduzi na kabla ya hapo miaka kama 20 kama waziri...
Kampeni za kuhamalisha chanjo tu hizo Kama alikufa kwa Corona mbona Hata mama Samia Wala Raisi wa Zanzibar Wala Baraza Zima la mawaziri Wala vyombo vyote vya ulinzi na usalama Wala viongozi wa afya mbona hawakuvaa barakoa ,Wala social distance Wala hawakuchanjwa?Magufuli amekufa kwa kukosa maarifa ndugu. Alisoma shule lakini obviously hakuelimika!