Arusha: Mahakama yamkuta Lengai Ole Sabaya na kesi ya kujibu

Arusha: Mahakama yamkuta Lengai Ole Sabaya na kesi ya kujibu

Magufuli hachafuki kwa ujinga huu

USSR
 
Mabeberu wanajua kazi aliyofanya magufuli tanzania miaka takriban sita kama rais wa jamhuri na mwenyekiti wa chama cha mapinduzi na kabla ya hapo miaka kama 20 kama waziri...
UtakichafuaJe kilichokwishachafuka?! Yeye mwenyewe kwa kuendekeza utawala wa wasiojulikana alishajichafua . Huwezi kuwa na mihimili inayofanya kazi ukaendekeza wasiojulikana.
 
Sabaya ni mtumishi mwaminifu wa wananchi [emoji848]
Basi sawa, ila ukweli umejivua nguo.
 
Kesi hii ni msisitizo wa utawala kufuata sheria za nchi katika utekelezaji wa majukumu mbalimbali
 
Mabeberu wanajua kazi aliyofanya Magufuli Tanzania miaka takriban sita kama Rais wa Jamhuri na mwenyekiti wa chama cha mapinduzi na kabla ya hapo miaka kama 20 kama waziri....
Umeandika utopolo mwingi sana,una maana Rais Samia yuko kwa ajili ya kumchafua mtu ambaye ameshakufa? Hivi kichwani kwako una akili au usaha tu?
 
Wapinga maendeleo kumbe ni CDM

Mkawafanyia hujuma wasiwemo bungeni kisha mkawabeba baadhi Yao haohao wapinga maendeleo mkawaweka bungen kinyume cha Sheria na mmekomaa nao mpk leo.

Lisuu mnaeshinda Kila sekunde mnamtukana ndiye huyohuyo alitoka Belgium na kuja kugombea nadhan hakuna uchaguz ulikuwa mgumu kwa CCM na malaika meko kama ule wa 2020 mpk mkaamua mjitengenezee Kura tu na kujishindsha.

Mnasema mnapendwa sn halafu hamtaki uwanja sawa WA ksiasa kupitia katiba mpya mnaogopa nn
 
Mabeberu wanajua kazi aliyofanya Magufuli Tanzania miaka takriban sita kama Rais wa Jamhuri na mwenyekiti wa chama cha mapinduzi na kabla ya hapo miaka kama 20 kama waziri...
Na achafuke tu hamna namna kama yye alivyotumia kijigazeti uchwara cha msiba kuwachafua wengine
 
Kwa utu uzima huu na experience nilizonazo katika maisha toka niwe mtu mzima na ninayejitambua na bila kushurutishwa na mtu yeyote nasema hivi mtu kufariki na bado unazungumziwa tena vibaya ni dalili ya kuwa ulilaaniwa na hao wakaao juu ya nchi
 
Mabeberu wanajua kazi aliyofanya Magufuli Tanzania miaka takriban sita kama Rais wa Jamhuri na mwenyekiti wa chama cha mapinduzi na kabla ya hapo miaka kama 20 kama waziri...
kumchafua marehemu mtu aliyelala milele na milele ni sawa na kupaka rangi upepo
 
Mabeberu wanajua kazi aliyofanya Magufuli Tanzania miaka takriban sita kama Rais wa Jamhuri na mwenyekiti wa chama cha mapinduzi na kabla ya hapo miaka kama 20 kama waziri...
Kwa hiyo hao walioumizwa hadi ushahidi wanao siyo wanadamu? Haki ni kwa sabaya tu!!! Hao walionyeng'anywa hela na kupigwa haki yao iko wapi? Hata hivyo sabaya mwenyewe kasema alitumwa na magu!!! Tunasubiri uhondo!!!!
 
Wapinga maendeleo kumbe ni CDM

Mkawafanyia hujuma wasiwemo bungeni kisha mkawabeba baadhi Yao haohao wapinga maendeleo mkawaweka bungen kinyume cha Sheria na mmekomaa nao mpk leo...
Nakumbuka kampeni ile dhalim aliteseka sana alikuwa kama gari ya mkaa,trip porini trip gereji.
 
Inalenga walio hai kuwachafua ukisoma between the lines!!!!!

Inalenga kumchafua Makamu wa Raisi .Makundi ndani ya CCM yameshaanza kampeni chafu.Wanatafuta kila sababu ku eliminate watu wanaodhani Ni powerful na waweza kuwa threat kwao wakichukua fomu kugombea Uraisi

Wanahaha wakati watu Wala hawawazi

Mitandao ya timu za fitna naona imeanza mapema haisubiri walau 2025 ikaribie!!! Ha ha ha ha mbavu zangu Mimi
Ok go ahead na fitna zenu ila 2025 kitaeleweka
 
Mabeberu wanajua kazi aliyofanya Magufuli Tanzania miaka takriban sita kama Rais wa Jamhuri na mwenyekiti wa chama cha mapinduzi na kabla ya hapo miaka kama 20 kama waziri...
Hapo CHADEMA na Lissu wanahusikaje muzee? Taratibu acha kuchachawa.
 
Magufuli amekufa kwa kukosa maarifa ndugu. Alisoma shule lakini obviously hakuelimika!
Kampeni za kuhamalisha chanjo tu hizo Kama alikufa kwa Corona mbona Hata mama Samia Wala Raisi wa Zanzibar Wala Baraza Zima la mawaziri Wala vyombo vyote vya ulinzi na usalama Wala viongozi wa afya mbona hawakuvaa barakoa ,Wala social distance Wala hawakuchanjwa?

Mungu anawaona uongo wenu wa kutumia marehemu .Corona na iwapate kwa jina Yesu hata kama mumechanjwa Ni iwaue kwa kusingizia marehemu

Eee Mungu saidia Corona isiwe mbali na wadharau maombi tuliyokuomba tukiongozwa na mtumishi wako Magufuli Raisi wetu uliyemwita kwako.ukawape Corona wanayoiamini kuliko Maombi tuliyokuomba na iwaue.

Tunaomba hayo kwa jina la Baba na la Mwana na la Roho Mtakatifu .Amina.
 
Kumchafua jpm ni sawa kuijaribu kuilamba sumu ama kututukana sie wanyonge wa nchi hii, tutahakikisha tunailinda heshima aliyotuachia kamanda wetu ..rip jpm!
 
Back
Top Bottom