aise!Naona yule Hakimu hataki kukaa Sana Hotelini, anataka arudi kwenye familia yake
kwa nn tena?!
hizi kazi za lawama sana!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
aise!Naona yule Hakimu hataki kukaa Sana Hotelini, anataka arudi kwenye familia yake
ndicho kinacho mkuta Gaidi namba 1.Ukiua kwa upanga nawe utakufa kwa upanga
Yaani hapa Duniani mpo watu wabishi sana.Tanzania ukitaka kutenda kazi kwa haki watu wafuate misingi iliyopo wanakutengenezea kesi au hata kifo inavyoonekana,kwa sababu ya nguvu ya pesa.
Naamini Sabaya anaweza kua ametengenezewa jambo
Bado anayo kweli?Miaka 30 jela na kutatuliwa marinda
Kwa sasa marinda anayo maana mazingira hayaruhusu kumtatuaBado anayo kweli?
Mwenzie Musiba 7.5B zimemuhusu tayariHuyo mwaka huu ni mwaka wa tabu pamoja na mwenzake musiba
Yule sio Hakimu ww Arusha, alienda Arusha kwa kazi hio tu peke yake. Sasa nadhani naona ameshaimiss familia yake...aise!
kwa nn tena?!
hizi kazi za lawama sana!
Hadi anaomba pooooMwenzie Musiba 7.5B zimemuhusu tayari
Mkuuahahaah, sasa hivi mshabadili porojo zenu, si mlisema Sabaya hawezi kutwa na kesi ya kujibu
Tanzania ukitaka kutenda kazi kwa haki watu wafuate misingi iliyopo wanakutengenezea kesi au hata kifo inavyoonekana,kwa sababu ya nguvu ya pesa.
Naamini Sabaya anaweza kua ametengenezewa jambo
Akimalizana na uhalifu alioufanyia Arusha, huku Moshi na Hai (Kilimanjaro) tunamsubiri kwa hamu aje kujibu mashtaka yake ya unyang'anyanyi vilevile akijifanya Afisa TRA mkusanya mapato kumbe ni jambazi sugu likitumia kofia na cheo cha kidola (abuse of power)...
Ushahidi mzuri Sana sabaya amewaumiza watu wengi Sana lkn sasa ushahidi Hakuna,watu hawataki kuja mahakamani kutoa ushahidi
Ugaidi hutendwa kitandani/chumbani ?????!!!!!!Wewe unalala na Mbowe chumba kimoja hadi uyajue anayofanya sirini? Acha unafiki! Mahakama itende haki kwa Mbowe kama ilivyotenda kwa Sabaya