mdudu
JF-Expert Member
- Feb 6, 2014
- 7,013
- 10,000
Ushahidi uko wazi sanaMbona uyu jamaa kesi yake imeenda haraka haraka sana aiseee...
Na hiyo ni kesi moja ,bodo kesi zingine tatu zio hatua ya mwisho ya kukamilika kwa ushahidi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ushahidi uko wazi sanaMbona uyu jamaa kesi yake imeenda haraka haraka sana aiseee...
Kwa Mbowe mnalilia aachiwe kinyume na sheria. Kwa Sabaya mnataka hata haki aliyonayo ya kisheria asipewe. Aachwe aendelee kusota gerezani. Kwamba ni mapema sana kumwachia!! Nyie wanachadema ni wanafiki sana. Si chama cha Demokrasia na hakijali haki za watu.Duh, utetezi unaanza kesho? Mapema sana wangemuacha hata ale weekend tu. Kwahio next week mbivu na mbichi zitajulikana?
Kama we siyo ndugu yake, basi utakuwa hauko vizuri kichwani.Tanzania ukitaka kutenda kazi kwa haki watu wafuate misingi iliyopo wanakutengenezea kesi au hata kifo inavyoonekana,kwa sababu ya nguvu ya pesa.
Naamini Sabaya anaweza kua ametengenezewa jambo
Mh. Jaji Biswalo Mganga enzi za u-DPP wake alikuwa kama anapinga hii procedure, sasa sijui sasa hivi ataendelea ku hold same position au ndio atakuwa mweledi zaidi.Kesi zote zinapaswa kuwa na mtiririko kama huu.
Ushahidi wote uandaliwe vizuri tena kimyakimya huku mtuhumiwa akiwa zake uraiani,akikamatwa na kufikishwa kortini pasiwe na hadithi za ushahidi kutokukamilika.
Makosa ya sabaya yako wazi sana,na alishaanza kulalamikiwa na watu miaka mingi nyuma sema hatua ndo zilichelewa kuchukuliwa kwasababu alikua analindwa,na hata sasa anaweza akalindwa na wenye nguvu wakiamua.ila ugaidi wa mbowe ni sinema ile na iko wazi ata kwa kichaa.Kinachofanyika ni watu kutoa mawazo yao sasa hapo unafiki ni upi?.Siku zote ukweli ni mfupi na uongo ni mrefu.Kwa Mbowe mnalilia aachiwe kinyume na sheria. Kwa Sabaya mnataka hata haki aliyonayo ya kisheria asipewe. Aachwe aendelee kusota gerezani. Kwamba ni mapema sana kumwachia!! Nyie wanachadema ni wanafiki sana. Si chama cha Demokrasia na haijali haki za watu.
Umesoma nilichoandika? Mimi ndio nimesema ako na kesi kujibu? Ndio nilimwambia akapore watu??Kwa Mbowe mnalilia aachiwe kinyume na sheria. Kwa Sabaya mnataka hata haki aliyonayo ya kisheria asipewe. Aachwe aendelee kusota gerezani. Kwamba ni mapema sana kumwachia!! Nyie wanachadema ni wanafiki sana. Si chama cha Demokrasia na hakijali haki za watu.
Sabaya atafungwa ilikuhalalisha kumfunga MboweMahakama ya Hakimu Mkazi Arusha imewakuta na kesi ya kujibu aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya, na wenzake wawili Sylevester Nyegu, Daniel Mbura, hivyo wanatakiwa kuanza kujitetea kesho Ijumaa Agosti 13, 2021...
Hii inaenda kasi ya 5Ghii kesi inapelekwa mbio ka mbio za mwengee, Je na watuhumiwa wengine kwenye mahakama hiyo kesi zao zinasogea kama hii. endapo hapana tunaomba nao wafikiriwe maamuzi yaende ka ya huyu mheshimiwa.
Haki za binadamu mkuuHuyu hakimu angeamuru alatwe uwanja wa wazi tumtandike mawe hadi kifo kimkute! Pambaf zake hili jambawazi
Noma sana,Mahakama ya Hakimu Mkazi Arusha imewakuta na kesi ya kujibu aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya, na wenzake wawili Sylevester Nyegu, Daniel Mbura, hivyo wanatakiwa kuanza kujitetea kesho Ijumaa Agosti 13, 2021...
Katika utawala wa kisheria ni mahakama tu ndicho chombo cha kisheria cha kutoa hukumu dhidi ya malalamiko yoyote kwa mtu yeyote. Hakuna kitu kinaitwa 'makosa yako wazi' Yako wazi kwa nani na kwa kigezo kipi.Makosa ya sabaya yako wazi sana,na alishaanza kulalamikiwa na watu miaka mingi nyuma sema hatua ndo zilichelewa kuchukuliwa kwasababu alikua analindwa,na hata sasa anaweza akalindwa na wenye nguvu wakiamua.ila ugaidi wa mbowe ni sinema ile na iko wazi ata kwa kichaa.Kinachofanyika ni watu kutoa mawazo yao sasa hapo unafiki ni upi?.Siku zote ukweli ni mfupi na uongo ni mrefu.
Kama weye ni mtu wa ARA nakuomba uende mtaa wa bondeni umuulize mtu yoyote pale sokoni kuhusu huyo Sabaya na duka la Saad Hajirini....utakavyosimuliwa utalia na utatokwa na machozi ya damu.Kwa Mbowe mnalilia aachiwe kinyume na sheria. Kwa Sabaya mnataka hata haki aliyonayo ya kisheria asipewe. Aachwe aendelee kusota gerezani. Kwamba ni mapema sana kumwachia!! Nyie wanachadema ni wanafiki sana. Si chama cha Demokrasia na hakijali haki za watu.
Kaka jambazi au sweet jambazi
Maisha haya bhana ila ukitaka kununua mbwa unampa jina baya
Kazi iendelew
Umemsahau na Gaidi AbubakarHuyo mwaka huu ni mwaka wa tabu pamoja na mwenzake musiba
Duh, utetezi unaanza kesho? Mapema sana wangemuacha hata ale weekend tu. Kwahio next week mbivu na mbichi zitajulikana?
Nafikiri hili limeanza utawala huu mpya, hata ya Mbowe wamesema ushahidi umekamilika, kwamba walishindwa kumkamata mapema sababu ushahidi ulikuwa bado. Ila mimi kama nikizingua then nikijua napelelezwa nalala mbeleKesi zote zinapaswa kuwa na mtiririko kama huu.
Ushahidi wote uandaliwe vizuri tena kimyakimya huku mtuhumiwa akiwa zake uraiani,akikamatwa na kufikishwa kortini pasiwe na hadithi za ushahidi kutokukamilika.
Ndiyo maana mahakama inasikiliza kesi hiyo. Waambie hao wa mtaa wa bondeni wakatoe ushahidi, badala ya kunisimulia mimi na nikaishia kulia, wamsimulie hakimu ili aishie kumfunga jela. Ndiyo utawala wa kisheria. Kinyume na hapo ni story za kunogesha vijiwe na kufanya 'hukumu' zisizozingatia haki za maisha ya binadamuKama weye ni mtu wa ARA nakuomba uende mtaa wa bondeni umuulize mtu yoyote pale sokoni kuhusu huyo Sabaya na duka la Saad Hajirini....utakavyosimuliwa utalia na utatokwa na machozi ya damu.
TUACHE SIASA ZA KIPUMBAVU KWENYE HAKI NA MAISHA YA WATU.