Arusha: Mahakama yamkuta Lengai Ole Sabaya na kesi ya kujibu

Arusha: Mahakama yamkuta Lengai Ole Sabaya na kesi ya kujibu

7ya
255622283228_status_80ee768ed22e48bb9b7597b68e0f1711.jpg
 
Tanzania ukitaka kutenda kazi kwa haki watu wafuate misingi iliyopo wanakutengenezea kesi au hata kifo inavyoonekana,kwa sababu ya nguvu ya pesa.

Naamini Sabaya anaweza kua ametengenezewa jambo
Waonaje ukitafuta uhakika haraka, kisha muungane ukaongezee nguvu utetezi?
 
Makosa ya sabaya yako wazi sana,na alishaanza kulalamikiwa na watu miaka mingi nyuma sema hatua ndo zilichelewa kuchukuliwa kwasababu alikua analindwa,na hata sasa anaweza akalindwa na wenye nguvu wakiamua.ila ugaidi wa mbowe ni sinema ile na iko wazi ata kwa kichaa.Kinachofanyika ni watu kutoa mawazo yao sasa hapo unafiki ni upi?.Siku zote ukweli ni mfupi na uongo ni mrefu.
Wewe unalala na Mbowe chumba kimoja hadi uyajue anayofanya sirini? Acha unafiki! Mahakama itende haki kwa Mbowe kama ilivyotenda kwa Sabaya
 
Utashangaa analipishwa fine maisha yanaendelea
 
Tanzania ukitaka kutenda kazi kwa haki watu wafuate misingi iliyopo wanakutengenezea kesi au hata kifo inavyoonekana,kwa sababu ya nguvu ya pesa.

Naamini Sabaya anaweza kua ametengenezewa jambo
unaamini lakin huna evidence yoyote. sasa ww unatofauti gani na watu wanaoanzisha rumors bila kuwa na data halisi?
 
Wanauweka usiku tu,huyo Sabaya na genge lake ilitakiwa awe amefungwa jela kabla ya 2021.
 
Kesi zote zinapaswa kuwa na mtiririko kama huu.

Ushahidi wote uandaliwe vizuri tena kimyakimya huku mtuhumiwa akiwa zake uraiani,akikamatwa na kufikishwa kortini pasiwe na hadithi za ushahidi kutokukamilika.
Kesi za Wanyonge haziwezi kwenda hivyo, wengine bado wako mahabusu wakati kila kitu kiko wazi!!
 
Nafikiri hili limeanza utawala huu mpya, hata ya Mbowe wamesema ushahidi umekamilika, kwamba walishindwa kumkamata mapema sababu ushahidi ulikuwa bado. Ila mimi kama nikizingua then nikijua napelelezwa nalala mbele
Kumbe hukumuelewa Siro,unakamatwa kwanza alafu unaachiwa kwa dhamana alafu wao wanaendelea kufanya yao,siku wakimaliza wanakunasa kimyakimya wanakupandisha Mahakamani!!
 
Picha linavyo kwenda sabaya ata hukumiwa hukumu inayompa ahuweni kwenda jera au kulipa faini na atalipa fain then out mwisho wa ck tutamkuta lumumba yuko na kihongoz, songolo wakimshambulia polepole juu ya msimamo wake wa chanjo
 
Kesi zote zinapaswa kuwa na mtiririko kama huu.

Ushahidi wote uandaliwe vizuri tena kimyakimya huku mtuhumiwa akiwa zake uraiani,akikamatwa na kufikishwa kortini pasiwe na hadithi za ushahidi kutokukamilika.
unajipa matumaini,hiyo kesi anafungwa,zinabakia kesi hizo zingine awe anahudhulia akitokea jela
 
Tanzania ukitaka kutenda kazi kwa haki watu wafuate misingi iliyopo wanakutengenezea kesi au hata kifo inavyoonekana,kwa sababu ya nguvu ya pesa.

Naamini Sabaya anaweza kua ametengenezewa jambo
ahahaah, sasa hivi mshabadili porojo zenu, si mlisema Sabaya hawezi kutwa na kesi ya kujibu
 
Back
Top Bottom