mwaki pesile
JF-Expert Member
- Nov 29, 2018
- 340
- 487
7ya
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Waonaje ukitafuta uhakika haraka, kisha muungane ukaongezee nguvu utetezi?Tanzania ukitaka kutenda kazi kwa haki watu wafuate misingi iliyopo wanakutengenezea kesi au hata kifo inavyoonekana,kwa sababu ya nguvu ya pesa.
Naamini Sabaya anaweza kua ametengenezewa jambo
Wewe unalala na Mbowe chumba kimoja hadi uyajue anayofanya sirini? Acha unafiki! Mahakama itende haki kwa Mbowe kama ilivyotenda kwa SabayaMakosa ya sabaya yako wazi sana,na alishaanza kulalamikiwa na watu miaka mingi nyuma sema hatua ndo zilichelewa kuchukuliwa kwasababu alikua analindwa,na hata sasa anaweza akalindwa na wenye nguvu wakiamua.ila ugaidi wa mbowe ni sinema ile na iko wazi ata kwa kichaa.Kinachofanyika ni watu kutoa mawazo yao sasa hapo unafiki ni upi?.Siku zote ukweli ni mfupi na uongo ni mrefu.
unaamini lakin huna evidence yoyote. sasa ww unatofauti gani na watu wanaoanzisha rumors bila kuwa na data halisi?Tanzania ukitaka kutenda kazi kwa haki watu wafuate misingi iliyopo wanakutengenezea kesi au hata kifo inavyoonekana,kwa sababu ya nguvu ya pesa.
Naamini Sabaya anaweza kua ametengenezewa jambo
Kesi za Wanyonge haziwezi kwenda hivyo, wengine bado wako mahabusu wakati kila kitu kiko wazi!!Kesi zote zinapaswa kuwa na mtiririko kama huu.
Ushahidi wote uandaliwe vizuri tena kimyakimya huku mtuhumiwa akiwa zake uraiani,akikamatwa na kufikishwa kortini pasiwe na hadithi za ushahidi kutokukamilika.
Usije ukashangaa hukumu yake faini million moja ama kifungo miezi sita.Mbona uyu jamaa kesi yake imeenda haraka haraka sana aiseee...
Kama kamtego flani hivi!!Sabaya atafungwa ilikuhalalisha kumfunga Mbowe
Kumbe hukumuelewa Siro,unakamatwa kwanza alafu unaachiwa kwa dhamana alafu wao wanaendelea kufanya yao,siku wakimaliza wanakunasa kimyakimya wanakupandisha Mahakamani!!Nafikiri hili limeanza utawala huu mpya, hata ya Mbowe wamesema ushahidi umekamilika, kwamba walishindwa kumkamata mapema sababu ushahidi ulikuwa bado. Ila mimi kama nikizingua then nikijua napelelezwa nalala mbele
Ni mchezo wao ili kuwe na referenceKama kamtego flani hivi!!
Kesi ya unyang'anyi haina fainiUtashangaa analipishwa fine maisha yanaendelea
Kama kesi ipo wazi namna hiyo hakuna haja ya kumaliza muda mwingi
Hatimaye vilio vya watanzania vimesikika kwa hakimu wa kweliDuh, umefika wakati wa Sabaya kulia na kusaga meno!
unajipa matumaini,hiyo kesi anafungwa,zinabakia kesi hizo zingine awe anahudhulia akitokea jelaKesi zote zinapaswa kuwa na mtiririko kama huu.
Ushahidi wote uandaliwe vizuri tena kimyakimya huku mtuhumiwa akiwa zake uraiani,akikamatwa na kufikishwa kortini pasiwe na hadithi za ushahidi kutokukamilika.
ahahaah, sasa hivi mshabadili porojo zenu, si mlisema Sabaya hawezi kutwa na kesi ya kujibuTanzania ukitaka kutenda kazi kwa haki watu wafuate misingi iliyopo wanakutengenezea kesi au hata kifo inavyoonekana,kwa sababu ya nguvu ya pesa.
Naamini Sabaya anaweza kua ametengenezewa jambo
Ujambazi wa kutumia silaha hakuna option ya fainiUtashangaa analipishwa fine maisha yanaendelea