Arusha: Mahakama yapanga Hukumu kesi ya Ole Sabaya, wenzake Mei 31, 2022

Arusha: Mahakama yapanga Hukumu kesi ya Ole Sabaya, wenzake Mei 31, 2022

Idugunde, ni wakati muafaka huu wa kusali na kufunga ili Jenerali Sabaya aweze kuepukana na adhabu ya kifungo ndani ya kifungo.
 
Serkali badala ihangaike na mfumuko wa bei ipo busy na watumishi wake

USSR
Hiyo ndio kazi ya serikali kupitia vyombo vyake vya sheria, ulitaka Mahakimu wakashughulikie mfumuko wa bei na kazi zao afanye nani?
 
Ni funzo zuri sana kwa wajinga, malimbukeni na washamba wa madaraka wasioelewa maana ya uongozi. Bado Makonda (kunyim wtu kuishi), Kalemani (kushirikiana na wahalifu kwa kuondoa CCTV ili kuficha uhalifu), Dotto James (matumizi ya fedha za umma bila kufuata utaratibu), Siro, Mambosasa, Kingai, Mahita (ubambikiaji watu kesi).
Soma tena comment yako leo hii..
 
Namuona Sabaya akila tena 30yrs tena.Ukijumlisha na ile 30 ya awali inakuwa 60 yrs.Najua atakaa chuoni miaka 30 kwa vile elimu huko chuoni kwao inatolewa kwa pamoja. Mungu ibariki TZ.
🤪🤪🤪
 
Back
Top Bottom