Norshad
JF-Expert Member
- Jun 3, 2013
- 5,211
- 12,538
Wanalala saa 9 alasiri hiyo saa 12 jioni wanakuwa wakiota ndoto nyevu.Kweli cheo ni dhamana
Leo hii Sabaya anakunywa uji saa 12 asubuhi na ugali maharage saa 12 jioni
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanalala saa 9 alasiri hiyo saa 12 jioni wanakuwa wakiota ndoto nyevu.Kweli cheo ni dhamana
Leo hii Sabaya anakunywa uji saa 12 asubuhi na ugali maharage saa 12 jioni
Daah aisee na uniform zake za njanoWanalala saa 9 alasiri hiyo saa 12 jioni wanakuwa wakiota ndoto nyevu.
Atakutwa bila hatia au dpp ataamua kutoendelea na kesi
Hiyo ndio kazi ya serikali kupitia vyombo vyake vya sheria, ulitaka Mahakimu wakashughulikie mfumuko wa bei na kazi zao afanye nani?Serkali badala ihangaike na mfumuko wa bei ipo busy na watumishi wake
USSR
Ipo siku kila kitu kitakuwa waziNyuma ya pazia...
Kwahiyo mlo huwa ni mmoja?!Wanalala saa 9 alasiri hiyo saa 12 jioni wanakuwa wakiota ndoto nyevu.
Soma tena comment yako leo hii..Ni funzo zuri sana kwa wajinga, malimbukeni na washamba wa madaraka wasioelewa maana ya uongozi. Bado Makonda (kunyim wtu kuishi), Kalemani (kushirikiana na wahalifu kwa kuondoa CCTV ili kuficha uhalifu), Dotto James (matumizi ya fedha za umma bila kufuata utaratibu), Siro, Mambosasa, Kingai, Mahita (ubambikiaji watu kesi).
Kwani Mbowe alitolewa?Marindah ndio basi tena hapo.
🤪🤪🤪Namuona Sabaya akila tena 30yrs tena.Ukijumlisha na ile 30 ya awali inakuwa 60 yrs.Najua atakaa chuoni miaka 30 kwa vile elimu huko chuoni kwao inatolewa kwa pamoja. Mungu ibariki TZ.
Kama unajua watu wanaliwa huko basi inawezekana na wewe uliishawahi kwenda huko na wakakukula au vipi!?Kwani Mbowe alihukumiwa kufungwa? Sabaya wenu machalii wamemla sana huko jela na bado kesi nyingine hukumu imeiva.