Kalamu Nzito
JF-Expert Member
- Aug 13, 2015
- 349
- 805
Basi kwa taarifa yako hakuna anaenyongwa hapo, mama sio mpumbavu wa kusaini saini
Nani hafahamu hilo? Hao wataozea jela. Tangu wakati wa Mwinyi hakuna Rais aliyesaini mtu kunyongwa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Basi kwa taarifa yako hakuna anaenyongwa hapo, mama sio mpumbavu wa kusaini saini
Ulipue sehemu uwe umeonewa sababu watu hawajafa mkuu? 😂Katika kulipua kanisa hiyo watu wangapi walipoteza maisha, kama hamna alio kufa wameonewa, na soon watakua huru uonevu hauwezi kufanikiwa.
Wewe jamaa hamnazo ukristo unahamasisha riba na sio kosa kudai ribaNICE COMMENT FROM YOU,NIMEIPENDA SANA...
I WILL PUT THIS ALL IN THE SHORTEST TERM KNOWN TO ME,KITU KIZURI NDIYO DAIMA HUPIGWA VITA...
LINI UKRISTO UMEKUWA IMARA KUPINGA KAMARI??LIN UKRISTO NA IMAN ZINGINE ZIMEKUWA IMARA KUPINGA RIBA,POMBE NA ZINAAA NA KADHALIKA??
UISLAM UKIINGIA UKAWEKA SHARIA LAZIMA HIVYO VITU VIPOTEE,NANI ATAKUBALI SUALA HILO??
Katika kulipua kanisa hiyo watu wangapi walipoteza maisha, kama hamna alio kufa wameonewa, na soon watakua huru uonevu hauwezi kufanikiwa.
[/QUOTE
KUMBE MPAKA AFE M2
100% SAHIHI. KUMBUKA HAO NI VIONGOZI WA JUU WA DINI. HII ROHO NA CHUKI SIJUI WANAITOA WAPIHukumu ya kifo, ni hukumu ya juu kabisa ambapo ili itolewe, ushahidi uwe umekamilika 100%. Na kabla ya hukumu kuna jopo la wanasheria wanapitia ushahidi. Ni process ndefu saaana. Kumbuka hapa unaenda kutoa uhai wa mtu. Hao mashehe ni kweli ni magaidi. Imani potofu imewaponza
Wako watu waliopoteza maisha kwneye tukio hilo. Sikumbuki ni wangapi but hilo tukio wapoKatika kulipua kanisa hiyo watu wangapi walipoteza maisha, kama hamna alio kufa wameonewa, na soon watakua huru uonevu hauwezi kufanikiwa.