Pre GE2025 Arusha mjini CCM twende na nani kwenye ubunge 2025?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Arusha wakishinda upinzani ni kwa sababu ya migogolo ndani ya CCM Arusha.
 
Lini mnaanza kujiandikisha? Nataka tu ID mimi, kura tutakula mtakazopiga nyie
tusiache kupiga kura hata kama wanaiba tuendelee kupiga kura, kutokwenda ni kuwarahisishia kazi yao haram
 
tusiache kupiga kura hata kama wanaiba tuendelee kupiga kura, kutokwenda ni kuwarahisishia kazi yao haram
Whatever it is, havina mchango na personal life langu.
 
Reactions: Lax
Mimi sitatoka ushirikiano kwa Gambo Wala kwa Catherine Magige. Gambo simpi ushirikiano sababu ameumiza watu sana kufikia hapo alipo. Na Catherine simpi ushirikiano sababu hana uwezo... Anakaa bungeni mda mrefu lakini sioni hoja zozote za MAANA alizopeleka kuwasaidia vijana, wanawake na watoto....kule sio jumba la urembo.. halafu alitumiwa cheo chake kufanya fujo msibani. Tutampa yeyote hata kama ni Viola lakini sio kaserini.
 
Arusha haina shida na mgombea kutoka CCM kwani inajiendesha yenyewe .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…