Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Gambo hofu ipo juu snJimbo la Arusha labda itokee Miujiza Candidate wa CCM kushinda na Gambo ndio kabisaa hapendwi.
Lema mtoto wa Mjini.
SureCCM wabahatishe kwa kuweka Mtoto wa Mjini pale Chuga labda wanaweza kubahatisha lakini Gambo Garasa lile.
🤣🤣 afu majina? Picha?Kama unataka kadi tu nitakupa ya kwangu utumie
Ukikaa nacho miezi mitatu tu unaanza kufanana na picha na majina pia😁🤣🤣 afu majina? Picha?
Viola yupi?Mimi sitatoka ushirikiano kwa Gambo Wala kwa Catherine Magige. Gambo simpi ushirikiano sababu ameumiza watu sana kufikia hapo alipo. Na Catherine simpi ushirikiano sababu hana uwezo... Anakaa bungeni mda mrefu lakini sioni hoja zozote za MAANA alizopeleka kuwasaidia vijana, wanawake na watoto....kule sio jumba la urembo.. halafu alitumiwa cheo chake kufanya fujo msibani. Tutampa yeyote hata kama ni Viola lakini sio kaserini.
😂😂😂 ukorofiiii huuUkikaa nacho miezi mitatu tu unaanza kufanana na picha na majina pia😁
Kwani wewe hupendi kuitwa Mjep
Hadi ufikishe miaka 18 ndo utaandikisha kupiga kura vuta subira bado mwaka mmoja😆
BABA YAKE SABAYA ATAWAFAA SANA2025 iko pale kwenye kona je, wapiga kura wa Arusha mjini tumeshatafakari wa kwenda naye kwenye uchaguzi dhidi ya Godbless Lema. Huko CHADEMA inajulikana kuwa ni mgombea wao wa ubunge ni Lema. Mchakato wao wa kumpata mgombea ubunge huwa ni kiini macho tu. Tayari mgombea wao ni Lema na hata yeye kashathibitisha. Sisi CCM tunafuata sana katiba ya chama chetu kinavyotaka ndo maana hadi muda huu mgombea ubunge hajajulikana.
Mwaka 2020 kwenye kura za maoni walikwepo kina Mrisho Gambo, Philemon Mollel (Monaban) na Alberto Msando. Kwa hali ya kisiasa ilivyo hadi muda huu Gambo na Msando wako active kabisa kwenye siasa. Mbunge viti maalum Catherine Magige naye hayuko nyuma huku Meya wa Jiji Maxmillian naye akizidi kuchanja mbuga. Binafsi nitatoa ushirikiano kwa mgombea yeyote isipokuwa Gambo.
Ni kweli.Migogoro ndani ya ccm haijawahi kuisha arusha hii,nina miaka karibu 70 hapa[emoji41] ni mtaalam mbobevu.
Ili Chadema washinde hili jimbo ni lazima asimamishwa Palangyo ambae ni mzawa tofauti na yule mkimbizi toka Machame2025 iko pale kwenye kona je, wapiga kura wa Arusha mjini tumeshatafakari wa kwenda naye kwenye uchaguzi dhidi ya Godbless Lema. Huko CHADEMA inajulikana kuwa ni mgombea wao wa ubunge ni Lema. Mchakato wao wa kumpata mgombea ubunge huwa ni kiini macho tu. Tayari mgombea wao ni Lema na hata yeye kashathibitisha. Sisi CCM tunafuata sana katiba ya chama chetu kinavyotaka ndo maana hadi muda huu mgombea ubunge hajajulikana.
Mwaka 2020 kwenye kura za maoni walikwepo kina Mrisho Gambo, Philemon Mollel (Monaban) na Alberto Msando. Kwa hali ya kisiasa ilivyo hadi muda huu Gambo na Msando wako active kabisa kwenye siasa. Mbunge viti maalum Catherine Magige naye hayuko nyuma huku Meya wa Jiji Maxmillian naye akizidi kuchanja mbuga. Binafsi nitatoa ushirikiano kwa mgombea yeyote isipokuwa Gambo.
Mzee wa mapovuJimbo la Arusha labda itokee Miujiza Candidate wa CCM kushinda,, na Gambo ndio kabisaa hapendwi.
Lema mtoto wa Mjini.
Kwanini humtaki Gambo???2025 iko pale kwenye kona je, wapiga kura wa Arusha mjini tumeshatafakari wa kwenda naye kwenye uchaguzi dhidi ya Godbless Lema. Huko CHADEMA inajulikana kuwa ni mgombea wao wa Ubunge ni Lema. Mchakato wao wa kumpata mgombea Ubunge huwa ni kiini macho tu.
Tayari mgombea wao ni Lema na hata yeye kashathibitisha. Sisi CCM tunafuata sana Katiba ya chama chetu kinavyotaka ndo maana hadi muda huu mgombea Ubunge hajajulikana.
Soma Pia: Vigogo wa CCM Mkoa waanza kusaka Ubunge Jimbo la Moshi Mjini
Mwaka 2020 kwenye kura za maoni walikwepo kina Mrisho Gambo, Philemon Mollel (Monaban) na Alberto Msando. Kwa hali ya kisiasa ilivyo hadi muda huu Gambo na Msando wako active kabisa kwenye siasa.
Mbunge viti maalum Catherine Magige naye hayuko nyuma huku Meya wa Jiji Maxmillian naye akizidi kuchanja mbuga. Binafsi nitatoa ushirikiano kwa mgombea yeyote isipokuwa Gambo.