Kwa majonzi na masikitiko napenda kuwtangazia kuwa hatimae Dada Batilda atakua mbunge wetu hapa Arusha, yaani sijui nini kimetokea... Lema chali tena
we sijui mwanaume au mwanamke usirudie kuandika ujingaujinga wako humu ndani, watu kukaa na kuweka post hapa sio kua hatuna kazi, tunafuatilia muafaka wa taifa letu.