Wana JF,
Habari Kutoka Arusha kwa Mtu aliyeko ndani manispaaa ni kuwa kuna shinikizo kubwa kutoka IKULU na Jana EL alikwenda mjini Arusha na kulikuwa na kikao cha ndani kufanya mambo ili mama apite,
Mbaya zaidi kumbe mawakala wa mama walikubali kuwa wameshindwa nakumbe walirudia kuhesaba kura na kila zikirudiwa kuhesabiwa batilda anaachwa mbali na kura zinazidi ongezeka kwa Lema naanaye goma na kuto kukubali ni Batilda.
Sasa hatuelewi kwanini IKULU inaingilia hili na kwanini wanashinikiza hilo?
Wana JF,
Habari Kutoka Arusha kwa Mtu aliyeko ndani manispaaa ni kuwa kuna shinikizo kubwa kutoka IKULU na Jana EL alikwenda mjini Arusha na kulikuwa na kikao cha ndani kufanya mambo ili mama apite,
Mbaya zaidi kumbe mawakala wa mama walikubali kuwa wameshindwa nakumbe walirudia kuhesaba kura na kila zikirudiwa kuhesabiwa batilda anaachwa mbali na kura zinazidi ongezeka kwa Lema naanaye goma na kuto kukubali ni Batilda.
Sasa hatuelewi kwanini IKULU inaingilia hili na kwanini wanashinikiza hilo?
Wana JF,
Habari Kutoka Arusha kwa Mtu aliyeko ndani manispaaa ni kuwa kuna shinikizo kubwa kutoka IKULU na Jana EL alikwenda mjini Arusha na kulikuwa na kikao cha ndani kufanya mambo ili mama apite,
Mbaya zaidi kumbe mawakala wa mama walikubali kuwa wameshindwa nakumbe walirudia kuhesaba kura na kila zikirudiwa kuhesabiwa batilda anaachwa mbali na kura zinazidi ongezeka kwa Lema naanaye goma na kuto kukubali ni Batilda.
Sasa hatuelewi kwanini IKULU inaingilia hili na kwanini wanashinikiza hilo?
Nasikia mambo yote yalikuwa yanaenda sawa, hadi hapo alipoingia Manywele(EL) kwenye UKUMBI HUO WA mANISPAA, NDIPO HALI YA HEWA IKABADILIKA, na tangu wakati huo ni kimya kabisa!
Naambiwa watu wamepanda kwenye maghorofa yaliyo jirani na hapo wana, na wanaanza kurusha mawe, lakini huko ndani ni kimya kama vile hakuna mtu!
Nguvu ya kifisadi jamani tusii'underestimate...ni mbaya sana!
mkuu heshima mbelesana...hili linaweza kuwa kweli maana habari za kufanana fanana na hizi pia nimezisikia
Wana JF,
Habari Kutoka Arusha kwa Mtu aliyeko ndani manispaaa ni kuwa kuna shinikizo kubwa kutoka IKULU na Jana EL alikwenda mjini Arusha na kulikuwa na kikao cha ndani kufanya mambo ili mama apite,
Mbaya zaidi kumbe mawakala wa mama walikubali kuwa wameshindwa nakumbe walirudia kuhesaba kura na kila zikirudiwa kuhesabiwa batilda anaachwa mbali na kura zinazidi ongezeka kwa Lema naanaye goma na kuto kukubali ni Batilda.
Sasa hatuelewi kwanini IKULU inaingilia hili na kwanini wanashinikiza hilo?
Arusha CHADEMA, Iringa Mjini CHADEMA, wera wera wera wera!!!!!!!!!!!!!!!!!!!