Elections 2010 Arusha Mjini: Hali si shwari

Elections 2010 Arusha Mjini: Hali si shwari

Nipo ENEO LA TUKIO HALI BADO NI TETE HAKUNA MATOKEO YALIYOTANGAZWA MPAKA SASA HIVI NA WAPIGA KURA WANAZIDI KUPANDA MORI

TUMWOMBE MUNGU ARUSHA ISITOKEE TAFRANI

huyu Ruta cjui aliokotea wapi hizo habari.
 
Kwa kuwa wanamtegemea zaidi shetani, tunamtuma mungu aliye hai awashughulikie wote. Hawawezi kubadili mapenzi ya mungu. Chadema watapata
 
Stat TV yenyewe inakatika ovyo ovyo sijui nao wamechakachuliwa dah
 
NASISITIZA MATOKEO YA JIMBO LA ARUSHA MJINI BADO HAYAJATANGAZWA MPAKA SASA HIVI SAA 9:53,
Nipo Hapa eneo la Manispaa ya Arusha bado watu hapa ni wengi wanadai haki yao. Haijulikani Matokeo yatatangazwa saa ngapi
 
Ruta this is not true please. Ndiyo wanataka kutangaza rasmi. Na NEC walivyo bogas hawana hata update kwenye website yako...pumbavu kabisa 60Billion za uchaguzi wizi mtupu
 
huyu Ruta cjui aliokotea wapi hizo habari.

NASISITIZA MATOKEO YA JIMBO LA ARUSHA MJINI BADO HAYAJATANGAZWA MPAKA SASA HIVI SAA 9:53,
Nipo Hapa eneo la Manispaa ya Arusha bado watu hapa ni wengi wanadai haki yao. Haijulikani Matokeo yatatangazwa saa ngapi

Stat TV yenyewe inakatika ovyo ovyo sijui nao wamechakachuliwa dah

Nipo ENEO LA TUKIO HALI BADO NI TETE HAKUNA MATOKEO YALIYOTANGAZWA MPAKA SASA HIVI NA WAPIGA KURA WANAZIDI KUPANDA MORI

TUMWOMBE MUNGU ARUSHA ISITOKEE TAFRANI

Sasa Ruta nilikupa heshima, naona unataka kuipoteza, hata wewe unaanzisha post zenye mikia tu? si ungepeleka kwa Macha akatengenezee supu then utulie? mambo gani haya

Ruta this is not true please. Ndiyo wanataka kutangaza rasmi. Na NEC walivyo bogas hawana hata update kwenye website yako...pumbavu kabisa 60Billion za uchaguzi wizi mtupu


hiki ndo ninachosema wakuu...kwa nini mtu ukurupuke tu...mkuu Ruta angalia bana heshima yako isije ikashuka!
 
kama JWTZ wanaingilia uchaguzi kwa namna yeyote nini maana ya demokrasia sasa. Mimi nilienda Arusha karibuni na kwa mtu yeyote mwenye macho na masikio angeweza kujua kuwa Arusha ni jimbo la chadema. Hivi hata huyo mama akipewa ushindi kwa kuchakachua atakuwa na ujasiri wa kusimama na kusema jambo?:nono: Jimbo hilo CCm ikubali kuwa imeshindwa waache kutuletea umwagaji wa damu
 
...Kwani haya majimbo matatu NYAMAGANA, ILEMELA na ARUSHA MJINI yana nini mpaka watu watake kupoteza uhai wa Watanzania kwa kutaka kuyang'ang'ania?????
 
Mpeni muda punguzeni kimuhe muhe labda nae yupo jikoni anajua kitu kinacho endelea

Fidel80 unajua leo mambo yako yako tu tunachanganyikiwa sana na hizi habari,sasa ukitwambia tupunguze kimuhe muhe sijui kama itawezekana maana tangu asubuhi watu tuko kwenye dilema hatuelewi mambo yanaendaje, mara usikie hili mara lile.
 
:tape: really speechless!! Sitaki kuamini haya yanayotendeka, huyu JK alitudanganya kuheshimu matokeo?

Sasa iweje wananza kuhangaika kuchakachua!!!
 
Sasa hawa wanaosema matilda kashinda wameyatoa wapi?
Mbona cmm waliokuwa wanadai kuna udini mara upinzani wanataka kumwaga damu leo hii wanatuonyesha nini sisi tuliopiga kura kwa upendo mkuu? Ccm acheni udidkteta mkishindwa kubalini?
 
Wanataka wananchi wanzishe fujo ili uchanguzi ujao wawe wanahubiri wapinzani wanaleta vita,wakati wa kampeni.
 
Back
Top Bottom