Kipangaspecial
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 20,778
- 28,722
Waliopewa mamlaka ya kutangaza matokeo huko nyuma walikuwa hawajapewa vitisho hadharani na Rais Kikwete kumtangaza mpinzani kuwa mshindi lakini Magufuli ametoa onyo hadharani.Siku zote alikuwa anshinda vipi? Labda tuanzie hapo kwanza!
Waache waropoke.. Kura tunazo sisi wao wana mdomo..Huyo Gambo awe mbunge wa nani , mm ni mkazi wa Arusha hapa kaloleni naijua in and out ,
Kiufupi tu Gambo hana uwezo wowote wa kupamban na lema ,
Hii ni Arusha mzee tunaijua wenyewe huyo gambo atapigwa asubuhi tu ohoooooooo!!! Lema hajaanza leo and tunamchagua lema kwakuwa katekeleza wajibu wake vizr and tunajua uovu wote unaofanywa na ccm , hawatutishi katu asilani abdani
Wananchi wanamlilia Gambo?...🙄🙄🙄.... alikuwa anawapa nini ambacho watakikosa mpaka walie?Kabisa yani. Sisi tupo huku field tunaona, saizi wananchi Wana simanzi alivyotenguliwa, Yani akija Kama mbunge atazoa Kura za kishindo sababu wanamlilia
Labda Kwa style yenu IleHiyo ipo wazi Gambo asubuhi anashinda.
Ahhaaa huo ndio wizi wa ccm kwa miaka mingi.Lema ana jeshi la kulinda kura zake ?
Kama hana hata akishinda, hawezi kutangazwa mshindi
Nasikia fununu kuwa Gambo huwenda akachukua fomu kwa tiketi ya CCM kugombea ubunge wa Arusha mjini.
Kwa hali ilivyo nnapata Uhakika 100% sana Gambo hawezi kushinda katika uchaguzi huo, tukumbuke kua tayari Gambo ana kidonda kibichi kabisa cha kutumbuliwa na Raisi, hivyo basi kama Raisi ameona hufai.
Je, wananchi utawaambia nini? Gambo pia si mzoefu wa siasa za majukwani, hapa pia Lema atatumia uzoefu wake kupita na Gap.
Trust me, ikitokea mtinange ukawa kati ya Lema Vs Gambo, basi mapema mnoo Lema ananyanyua Kikombe.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hiyo ipo wazi Gambo asubuhi anashinda.
Lema hajawahi kumuogopa mtu yeyote hata yesu wenu
Ilikua awali, ila kwa hili pigo alilopata Gambo, basi imemfanyia wepesi sana Lema wa kushinda.
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyo referee hawezi kataa gori la kutoka mita 50mechi nzuri tatizo Ni referee
Labda kwa mitutu yaani Arusha mjini Gambo awe mbunge?✌✌✌Hiyo ipo wazi Gambo asubuhi anashinda.
Bora hata wewe umeongea ukweli, hao wenzako hapo juu wanajifariji tuArusha nikiri ni ngumu sana kwa sisi CCM, ila Gambo hawezi pewa ridhaa na CCM agombee, sbb ziko wazi, niseme tu, watu wa Arusha kuwageuza akili zao wasimchague Lema inahitaji kazi ya ziada tufanye CCM.
Mkuu tusubiri kesho huenda mzee mzima akatia neno ndo tujue kama ni pigo kwa Gambo au laIlikua awali, ila kwa hili pigo alilopata Gambo, basi imemfanyia wepesi sana Lema wa kushinda.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nasikia fununu kuwa Gambo huwenda akachukua fomu kwa tiketi ya CCM kugombea ubunge wa Arusha mjini.
Kwa hali ilivyo nnapata Uhakika 100% sana Gambo hawezi kushinda katika uchaguzi huo, tukumbuke kua tayari Gambo ana kidonda kibichi kabisa cha kutumbuliwa na Raisi, hivyo basi kama Raisi ameona hufai.
Je, wananchi utawaambia nini? Gambo pia si mzoefu wa siasa za majukwani, hapa pia Lema atatumia uzoefu wake kupita na Gap.
Trust me, ikitokea mtinange ukawa kati ya Lema Vs Gambo, basi mapema mnoo Lema ananyanyua Kikombe.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sidhani watu wa arusha kwa sasa wanafikiri km unavyofikiri wewe..Lema akigombea tena arusha, ni dhahiri 100% hana upendo na watu wa arusha..hakuna haja ya kuhangaika na mtu wa aina hii..jibu liko wazi.Nasikia fununu kuwa Gambo huwenda akachukua fomu kwa tiketi ya CCM kugombea ubunge wa Arusha mjini.
Kwa hali ilivyo nnapata Uhakika 100% sana Gambo hawezi kushinda katika uchaguzi huo, tukumbuke kua tayari Gambo ana kidonda kibichi kabisa cha kutumbuliwa na Raisi, hivyo basi kama Raisi ameona hufai.
Je, wananchi utawaambia nini? Gambo pia si mzoefu wa siasa za majukwani, hapa pia Lema atatumia uzoefu wake kupita na Gap.
Trust me, ikitokea mtinange ukawa kati ya Lema Vs Gambo, basi mapema mnoo Lema ananyanyua Kikombe.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ikiwa nyie wenyewe munagombana mukiwa kwenye vyeo vya kutunukiwa, mutapigiana kura kweli?Hiyo ipo wazi Gambo asubuhi anashinda.