Uchaguzi 2020 Arusha Mjini: Lema Vs Gambo; Lema atashinda mapema mno

Uchaguzi 2020 Arusha Mjini: Lema Vs Gambo; Lema atashinda mapema mno

Siku zote alikuwa anshinda vipi? Labda tuanzie hapo kwanza!
Waliopewa mamlaka ya kutangaza matokeo huko nyuma walikuwa hawajapewa vitisho hadharani na Rais Kikwete kumtangaza mpinzani kuwa mshindi lakini Magufuli ametoa onyo hadharani.
 
Arusha nikiri ni ngumu sana kwa sisi CCM, ila Gambo hawezi pewa ridhaa na CCM agombee, sbb ziko wazi, niseme tu, watu wa Arusha kuwageuza akili zao wasimchague Lema inahitaji kazi ya ziada tufanye CCM.
 
Huyo Gambo awe mbunge wa nani , mm ni mkazi wa Arusha hapa kaloleni naijua in and out ,

Kiufupi tu Gambo hana uwezo wowote wa kupamban na lema ,

Hii ni Arusha mzee tunaijua wenyewe huyo gambo atapigwa asubuhi tu ohoooooooo!!! Lema hajaanza leo and tunamchagua lema kwakuwa katekeleza wajibu wake vizr and tunajua uovu wote unaofanywa na ccm , hawatutishi katu asilani abdani
Waache waropoke.. Kura tunazo sisi wao wana mdomo..
 
Kabisa yani. Sisi tupo huku field tunaona, saizi wananchi Wana simanzi alivyotenguliwa, Yani akija Kama mbunge atazoa Kura za kishindo sababu wanamlilia
Wananchi wanamlilia Gambo?...🙄🙄🙄.... alikuwa anawapa nini ambacho watakikosa mpaka walie?
 
Gambo alisha feli kitambo sana
Nasikia fununu kuwa Gambo huwenda akachukua fomu kwa tiketi ya CCM kugombea ubunge wa Arusha mjini.

Kwa hali ilivyo nnapata Uhakika 100% sana Gambo hawezi kushinda katika uchaguzi huo, tukumbuke kua tayari Gambo ana kidonda kibichi kabisa cha kutumbuliwa na Raisi, hivyo basi kama Raisi ameona hufai.

Je, wananchi utawaambia nini? Gambo pia si mzoefu wa siasa za majukwani, hapa pia Lema atatumia uzoefu wake kupita na Gap.

Trust me, ikitokea mtinange ukawa kati ya Lema Vs Gambo, basi mapema mnoo Lema ananyanyua Kikombe.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
wananchi ndio tutakao amua

binafsi huku arusha nilipo karibia kila mtu maemjua anamsapoti lema, ila labda wasipotuheshimu wananchi wakatudhulumu haki yetu ndio gambo atapita
 
Arusha nikiri ni ngumu sana kwa sisi CCM, ila Gambo hawezi pewa ridhaa na CCM agombee, sbb ziko wazi, niseme tu, watu wa Arusha kuwageuza akili zao wasimchague Lema inahitaji kazi ya ziada tufanye CCM.
Bora hata wewe umeongea ukweli, hao wenzako hapo juu wanajifariji tu
 
Nawazaa tuu Binam Bananga asimame Arusha mjini, Lema-Hai na Mbowe-Moshi town.
 
Nasikia fununu kuwa Gambo huwenda akachukua fomu kwa tiketi ya CCM kugombea ubunge wa Arusha mjini.

Kwa hali ilivyo nnapata Uhakika 100% sana Gambo hawezi kushinda katika uchaguzi huo, tukumbuke kua tayari Gambo ana kidonda kibichi kabisa cha kutumbuliwa na Raisi, hivyo basi kama Raisi ameona hufai.

Je, wananchi utawaambia nini? Gambo pia si mzoefu wa siasa za majukwani, hapa pia Lema atatumia uzoefu wake kupita na Gap.

Trust me, ikitokea mtinange ukawa kati ya Lema Vs Gambo, basi mapema mnoo Lema ananyanyua Kikombe.

Sent using Jamii Forums mobile app

Uko field? Au unazungumzia ofisini?
 
Nasikia fununu kuwa Gambo huwenda akachukua fomu kwa tiketi ya CCM kugombea ubunge wa Arusha mjini.

Kwa hali ilivyo nnapata Uhakika 100% sana Gambo hawezi kushinda katika uchaguzi huo, tukumbuke kua tayari Gambo ana kidonda kibichi kabisa cha kutumbuliwa na Raisi, hivyo basi kama Raisi ameona hufai.

Je, wananchi utawaambia nini? Gambo pia si mzoefu wa siasa za majukwani, hapa pia Lema atatumia uzoefu wake kupita na Gap.

Trust me, ikitokea mtinange ukawa kati ya Lema Vs Gambo, basi mapema mnoo Lema ananyanyua Kikombe.

Sent using Jamii Forums mobile app
Sidhani watu wa arusha kwa sasa wanafikiri km unavyofikiri wewe..Lema akigombea tena arusha, ni dhahiri 100% hana upendo na watu wa arusha..hakuna haja ya kuhangaika na mtu wa aina hii..jibu liko wazi.
 
Back
Top Bottom