Mtumishi Wetu
JF-Expert Member
- Oct 12, 2010
- 5,712
- 1,910
Gambo alitumia MaPolisisiEM Kumdhibiti Lema, kwenye siasa za jukwaani Gambo ni ndebwedo anapigwa hasubuhi!!
Atadanganywa watu watakulaa helazake, kura hapati kama Lowasa kipindi kile na yule binti aliye pozwa na ubarozi wa Kenya!!
Arusha inahitaji upinzani thabiti ili waendelee kustuliwa kuleta maendeleo!!