Arusha: Mke wa Mtu auawa na mchepuko wake baada ya kutoa mimba ya mchepuko

Kukosekana uaminifu kwenye ndoa ndio chanzo cha mambo mengi ya hovyo sana kwenye mahusiano,yaani mtu unamtumia mke wa mtu mpaka unamuona ni mali yako unaweza kumfanya chochote unachotaka......
 
Huuu Uzi pelekeni kwenye Kula kimasiahara ili iwe fundisho
 
Tena wamsokomeze miti kabisa shenzi huyu 🤬
Mimi nadhani hapa mume wa marehemu ndio anatakiwa kuchunguzwa, yaani unaamini kuwa anaweza kuwa alikuwa amekaa tu anaacha mkewe ana mwanaume mwingine na kila mtu anajua... Uweze kano mkubwa ametekeleza haya mauaji, akaacha viatu na na nguo za hawara wa mkewe hapo ili jamaa apate msala. Ila kwa polisi wetu wanaweza kufikia conclusion kwa kukuta tu viatu na nguo za hawara hapo.
 
Jamii yetu ina mbilinge nyingi sana
 
Mwenzio akinyolewa we tia maji ajali umkumba yeyeto tu uwe smart usiwe smart,wake zetu ni michepuko ya wengine.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…