Arusha morden school yauzwa bilion 4 kwa kanisa katoliki.

nalipongeza sana kanisa KATOLIKI kwa kuongeza shule, WAISLAMU wezangu igeni mfano wa wakatoliki
Wenyewe walikusanyana uwanja wa taifa kuchangishana waanzishe TV Imaan...nadhani radio Imaan haijawapumbaza vya kutosha wanataka dozi kubwa ya TV...Mchawi wao ni wao wenyewe wala wasimlalamikie mtu...!
 
Poleni sana watumwa wa waarabu, wenzenu tunapambana na elimu nyie mnashuhulika na vurugu zisizokuwa na msingi,semeni pia hapo tumepata fedha serikalini kama kawaida yenu, kupiga umbea,kahawa kulala m....... Ndiyo hatima yenu

kuhusu hiyo shule tokea mwaka jana ndiyo walianza tulianza mchakato huo na ni kweli tuko mbioni kufungua chuo kikuu
 

Mi hawanisumbui sikuhizi. Kuna mmoja kaja na hoja ya MoU. Sasa sijui mou ndo iliyochangisha hizo hela? Wacha niende zangu chit chat maana humu unaweza pata concussion
 
Natoa pongezi za dhati kwa Kanisa Katoliki juhudi zao za kukuza elimu hapa Tanzania na dunia kwa ujumla zinaonekana kila mahali.Napenda kuyahimiza madhehebu mengine ya KiKisto yaige mfano mzuri wa kanisa Katoliki pia madhehebu ya dini ya KIslam yajipange vyema ili kukabiliana na pengo kubwa katika uwekezaji wa sekta ya elimu linalozidi kuongezeka kila siku.

Nilitarajia baada ya Rais Mstaafu Mheshimiwa B Mkapa kawapa kilichokuwa chuo cha TANESCO Morogoro ndugu zangu waIslam waafrika wangeongeza vyuo vingine vingi badala yake wamejikita katika masuala yasiyo na maslahi kwao na taifa kwaujumla.
 
na bado
mambo mengi yanakuja tunaweza nunua hata hicho chuo kikuu cha morogoro ni mipango tu... Hao wenzetu tukiwapa fedha watatupa kwani kina hali mbaya sana chuo chao
kanisa linakaribisha maombi ili tuweze kununua chuo hicho chakavu tukifanye kiwe chuo.
 
kanisa katoliki lipo kibiashara zaidi dini ni kama sehemu ya mti wenye kivuli tu!
 
hapo hawawezi kuwauzia wakatoliki, Pengo hatoi cha juu, nao wamezoe bei ya kwenye makaratasi na bei ya Pembeni, labda watamuuzia yule mdosi, anaye wapa pesa za Pembeni/cha juu.
 
Naomba ufafanuzi mkuu!

mkuu kanisa katoliki lina mabingwa wa kuongoza saikolojia ya waumini wao na hata wale wasio waumini wao.

shughuli zozote zile za uuzaji bidhaa au huduma huitwa masoko.shughuli za marketing hujumuisha kutafuta mahala pa kuuzia bidhaa au huduma zako na kutafuta wateja.

umuhimu wa masoko katika biashara yako,ni sawa na umuhimu wa moyo katika kiwiliwili cha mwanadamu.moyo unaposimama mapigo,uhai hutoweka.basi vivyo hivyo shughuli za masoko zinaposimama biashara hufifia na hatimaye kufa kabisa.

mfano,usipofungua biashara yako au ukifungua bila muda maalum wateja watapotea na hatimae biashara yako itakufa.unaweza ukamwangalia kakobe kabla na sasa alikuwaje.

katika biashara,kila mtu anaweza kuwa mteja wako siku moja lakini si lazima kila mtu awe mteja wako.kwa hiyo ni muhimu ujue mteja wako ni nani!
unaweza kujua mteja wako ni nani kwa kujua mtu fulani anataka nini! kumbuka kuwa mteja hununua bidhaa au huduma ili kutimiza mahitaji au matakwa yake na si yako.kanisa katoliki ililiona hili hivyo kuweka dini pekee isingeleta ushawishi kwa watu bila kuweka vivutio vitakavyosababisha watu kushawishika navyo.

kwa hiyo ili ufanikiwe katika biashara yako, ni vema kujua kwa nini na kwa 7bu gani mteja ananunua bidhaa au huduma yako,ama sivyo utashindwa kulenga na kutosheleza mahitaji yake.
 

Mkuu. I've read the article fully. The writer is good at explaining. The issue is he has very little knowledge on the bible and the church is condemning. Few examples.
1. How on earth can one say that Peter was not among Jesus's disciples?
2. Pick any catholic book and look for the commandments against those in the bible and see if any is missing.
ADVICE: There's no way can a medical doctor challenge an engineer when it comes to technical things. Quoting the bible doesn't mean you know the meaning of it. It's wise to understand that you can't get the meaning of the lines in the bible by just picking few and elaborate them. All lines are interrelated.
 

Mkuu nimekuelewa, Imani au dini yoyote inapaswa kuwa na waumini na lengo la dini/imani hiyo ni kuhakikisha waumini wao wanaongezeka kila uchao.

Waumini hawa ni sehemu ya jamii na wana mahitaji sawa na wanajamii wengine wote ikiwemo afya, elimu, maji, umeme na vingine vingi.

Kuna dhambi gani kwa dini/dhehebu kusogeza huduma hizo kwa waumini wao na ukizingatia kuwa hawa ni wanajamii basi jamii nzima itafaidika na huduma hiyo?

Ni dini/imani au dhehebu gani ambalo halijajenga shule, hospitali, visima maeneo mbalimbali ktk jamii?

Kuna ulipokuta shughuli za ibada zimekwama kwa sababu ya hayo mambo mengine (hospitali, shule nk).

Unaposema katoliki wamezidi ina maana wengine hawatoi hizo huduma? Au wamegeuza makanisa kuwa shule, hosp?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…