Arusha: Mume avunja nyumba mtoto akiwa ndani, alimpa talaka mke

Arusha: Mume avunja nyumba mtoto akiwa ndani, alimpa talaka mke

Mkalukungone mwamba

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2022
Posts
862
Reaction score
1,755

Katika hali isiyo ya kawaida kutoka ya Wilaya ya Arumeru mkoa wa Arusha Mwanamke mmoja amelalamika kuvunjiwa nyumba aliyokuwa akiishi yeye pamoja na mtoto wake nyumba hiyo imevunjwa na aliyekuwa Mume wake, Baada ya kumpa talaka Mahakani.

Mwanamke huyo anadai kwamba nyumba hiyo walijenga pamoja lakini ameshangaa nyumba hiyo kubomolewa. Licha ya hukumu kutoka na kutakiwa kugawana mali hizo asilimia 50 kwa 50.

Soma Pia: Mchezo wa Sheria: Apoteza haki ya mgawanyo wa mali baada ya mume kudai hajawahi kumuoa Salma Mohammed, mke alibadili jina baada ya kuolewa
 
Katika hali isiyo ya kawaida kutoka ya Wilaya ya Arumeru mkoa wa Arusha Mwanamke mmoja amelalamika kuvunjiwa nyumba aliyokuwa akiishi yeye pamoja na mtoto wake nyumba hiyo imevunjwa na aliyekuwa Mume wake, Baada ya kumpa talaka Mahakani.
Wakati anaolewa hakujua kuwa kaolews na nyati?
 
Katika hali isiyo ya kawaida kutoka ya Wilaya ya Arumeru mkoa wa Arusha Mwanamke mmoja amelalamika kuvunjiwa nyumba aliyokuwa akiishi yeye pamoja na mtoto wake nyumba hiyo imevunjwa na aliyekuwa Mume wake, Baada ya kumpa talaka Mahakani.
Bila CCM kuondoka madarakani vichaa watazidi kuongezeka nchini.
 
Katika hali isiyo ya kawaida kutoka ya Wilaya ya Arumeru mkoa wa Arusha Mwanamke mmoja amelalamika kuvunjiwa nyumba aliyokuwa akiishi yeye pamoja na mtoto wake nyumba hiyo imevunjwa na aliyekuwa Mume wake, Baada ya kumpa talaka Mahakani.

Mwanamke huyo anadai kwamba nyumba hiyo walijenga pamoja lakini ameshangaa nyumba hiyo kubomolewa. Licha ya hukumu kutoka na kutakiwa kugawana mali hizo asilimia 50 kwa 50.
Hasira zingine ni za kijinga!
Hata hivyo maamuzi yoyote yafanywayo kwa ghadhabu hayajawahi kuwa na tija
 

Katika hali isiyo ya kawaida kutoka ya Wilaya ya Arumeru mkoa wa Arusha Mwanamke mmoja amelalamika kuvunjiwa nyumba aliyokuwa akiishi yeye pamoja na mtoto wake nyumba hiyo imevunjwa na aliyekuwa Mume wake, Baada ya kumpa talaka Mahakani.

Mwanamke huyo anadai kwamba nyumba hiyo walijenga pamoja lakini ameshangaa nyumba hiyo kubomolewa. Licha ya hukumu kutoka na kutakiwa kugawana mali hizo asilimia 50 kwa 50.

Soma Pia: Mchezo wa Sheria: Apoteza haki ya mgawanyo wa mali baada ya mume kudai hajawahi kumuoa Salma Mohammed, mke alibadili jina baada ya kuolewa
Picha limeanza vizuri big up kwa kamera man
 

Katika hali isiyo ya kawaida kutoka ya Wilaya ya Arumeru mkoa wa Arusha Mwanamke mmoja amelalamika kuvunjiwa nyumba aliyokuwa akiishi yeye pamoja na mtoto wake nyumba hiyo imevunjwa na aliyekuwa Mume wake, Baada ya kumpa talaka Mahakani.

Mwanamke huyo anadai kwamba nyumba hiyo walijenga pamoja lakini ameshangaa nyumba hiyo kubomolewa. Licha ya hukumu kutoka na kutakiwa kugawana mali hizo asilimia 50 kwa 50.

Soma Pia: Mchezo wa Sheria: Apoteza haki ya mgawanyo wa mali baada ya mume kudai hajawahi kumuoa Salma Mohammed, mke alibadili jina baada ya kuolewa
Picha limeanza vizuri big up kwa kamera man
 
Back
Top Bottom