gallow bird
JF-Expert Member
- Aug 10, 2024
- 3,915
- 6,272
Kwenye nyumba uliyojenga wewe na ukaporwa na mahakama akapewa yeye,kwa madai tulijenga wote wakati kipindi unamuoa hata vocha hakuwa na uwezo nayo😄 ulishakuwa na mali alafu umezinguana na mke..alafu wakati mmetengana huyo mke yuko na mtu mwingine anammega inachanganya sana 😄
Ova