Mkalukungone mwamba
JF-Expert Member
- Aug 29, 2022
- 862
- 1,755
Senior member at Your bestArusha: mume avunja nyumba mtoto akiwa ndani, alimpa talaka mke "sijui nitalala wapi"
Wakati anaolewa hakujua kuwa kaolews na nyati?Katika hali isiyo ya kawaida kutoka ya Wilaya ya Arumeru mkoa wa Arusha Mwanamke mmoja amelalamika kuvunjiwa nyumba aliyokuwa akiishi yeye pamoja na mtoto wake nyumba hiyo imevunjwa na aliyekuwa Mume wake, Baada ya kumpa talaka Mahakani.
Bila CCM kuondoka madarakani vichaa watazidi kuongezeka nchini.Katika hali isiyo ya kawaida kutoka ya Wilaya ya Arumeru mkoa wa Arusha Mwanamke mmoja amelalamika kuvunjiwa nyumba aliyokuwa akiishi yeye pamoja na mtoto wake nyumba hiyo imevunjwa na aliyekuwa Mume wake, Baada ya kumpa talaka Mahakani.
Hasira zingine ni za kijinga!Katika hali isiyo ya kawaida kutoka ya Wilaya ya Arumeru mkoa wa Arusha Mwanamke mmoja amelalamika kuvunjiwa nyumba aliyokuwa akiishi yeye pamoja na mtoto wake nyumba hiyo imevunjwa na aliyekuwa Mume wake, Baada ya kumpa talaka Mahakani.
Mwanamke huyo anadai kwamba nyumba hiyo walijenga pamoja lakini ameshangaa nyumba hiyo kubomolewa. Licha ya hukumu kutoka na kutakiwa kugawana mali hizo asilimia 50 kwa 50.
Huko hakupowi πWaarusha nao!
π ulishakuwa na mali alafu umezinguana na mke..alafu wakati mmetengana huyo mke yuko na mtu mwingine anammega inachanganya sana πSafi sana hakuna kucheka na musenge.....
huyo mwanamke anaonekana kisirani sana yahn huyo kukutoa roho dakika sifuri.
Kabomoa afanye marekebisho πYaani nimejikuta nacheka kwa hii habari, kweli wazimu ncha saba. Khaaaa!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Na ndio kilichokuwepo.π ulishakuwa na mali alafu umezinguana na mke..alafu wakati mmetengana huyo mke yuko na mtu mwingine anammega inachanganya sana π
Ova
Picha limeanza vizuri big up kwa kamera man
Katika hali isiyo ya kawaida kutoka ya Wilaya ya Arumeru mkoa wa Arusha Mwanamke mmoja amelalamika kuvunjiwa nyumba aliyokuwa akiishi yeye pamoja na mtoto wake nyumba hiyo imevunjwa na aliyekuwa Mume wake, Baada ya kumpa talaka Mahakani.
Mwanamke huyo anadai kwamba nyumba hiyo walijenga pamoja lakini ameshangaa nyumba hiyo kubomolewa. Licha ya hukumu kutoka na kutakiwa kugawana mali hizo asilimia 50 kwa 50.
Soma Pia: Mchezo wa Sheria: Apoteza haki ya mgawanyo wa mali baada ya mume kudai hajawahi kumuoa Salma Mohammed, mke alibadili jina baada ya kuolewa
Picha limeanza vizuri big up kwa kamera man
Katika hali isiyo ya kawaida kutoka ya Wilaya ya Arumeru mkoa wa Arusha Mwanamke mmoja amelalamika kuvunjiwa nyumba aliyokuwa akiishi yeye pamoja na mtoto wake nyumba hiyo imevunjwa na aliyekuwa Mume wake, Baada ya kumpa talaka Mahakani.
Mwanamke huyo anadai kwamba nyumba hiyo walijenga pamoja lakini ameshangaa nyumba hiyo kubomolewa. Licha ya hukumu kutoka na kutakiwa kugawana mali hizo asilimia 50 kwa 50.
Soma Pia: Mchezo wa Sheria: Apoteza haki ya mgawanyo wa mali baada ya mume kudai hajawahi kumuoa Salma Mohammed, mke alibadili jina baada ya kuolewa