[emoji1787][emoji23][emoji1787][emoji23][emoji1787][emoji23][emoji1787]mwanza kaomba mvua mpka leo kimya,kwahiyo bi nuhu ndio kaleta hayo manyunyu leo[emoji1787][emoji23][emoji1787][emoji23][emoji1787]Kwa wenye Imani huwa tunaangalia Ishara mbalimbali.
leo katika uwanja wa Shekh Amri Abedi mheshimiwa Rais Samia Suluhu alihutubia wananchi kuhusu maswala ya Usalama barabarani.
mara baada ya hotuba yake na wakati anaelekea kuondoka lilitokea wingu kubwa na baadaye Mvua ikanyesha.
Wana Imani iwe ya dini au ile ya kimila mna maoni gani?
uwanja wa Shekh Amri Abedi
Ndiyo Ukweli WenyeweImani za kipuuzi uache. Mvua zimeshaanza kwa baadhi ya maeneo. Ndo msimu wake na wala haina uhusiano wowote na hicho unachotaka watu waamini.
Kwa wenye Imani huwa tunaangalia Ishara mbalimbali. leo katika uwanja wa Shekh Amri Abedi mheshimiwa Rais Samia Suluhu alihutubia wananchi kuhusu maswala ya Usalama barabarani...
😍Mama anakubalika sana
😍Kwa wenye Imani huwa tunaangalia Ishara mbalimbali.
leo katika uwanja wa Shekh Amri Abedi mheshimiwa Rais Samia Suluhu alihutubia wananchi kuhusu maswala ya Usalama barabarani.
mara baada ya hotuba yake na wakati anaelekea kuondoka lilitokea wingu kubwa na baadaye Mvua ikanyesha.
Wana Imani iwe ya dini au ile ya kimila mna maoni gani?
Ukame mkubwa utatokea tz na majanga makubwa ndiyo tafsiri ya hicho kitendo tena kuna kiongozi wa dini alisema mungu kajibu maombi kwa kunyesha mvua palepale nikajua huyo kiongozi ni chenga kwa sababu ukitumia akili lile tukio ni dalili za matatizo na mikosi nchiniKwa wenye Imani huwa tunaangalia Ishara mbalimbali
leo katika uwanja wa Shekh Amri Abedi mheshimiwa Rais Samia Suluhu alihutubia wananchi kuhusu maswala ya Usalama barabarani
Mara baada ya hotuba yake na wakati anaelekea kuondoka lilitokea wingu kubwa na baadaye Mvua ikanyesha
Wana imani iwe ya dini au ile ya kimila mna maoni gani?