Arusha: Mwanafunzi wa Chuo cha Tumaini, Makumira abakwa hadi mauti

shuve

JF-Expert Member
Joined
Oct 11, 2012
Posts
312
Reaction score
103
Mwanafunzi wa mwaka wa kwanza chuo tajwa abakwa adi kufariki dunia na habari kutoka kwa wanafunzi hapo wadai watu takribani 30 wamekamatwa.

NOTE: Picha zinazoonesha Mwili wa Marehemu, zimeondolewa.

Hapa chini ni Picha wakati wa uhai wake.


 
Napinga Sana ubakaji ila mama aliniambia hivi siku moja: ukipita uchochoroni usiku na vibaka wakakukaba kabla hujawalaumu hao vibaka jilaumu wewe kwa kupita njia hatarishi!
Kwa life style ya Huyo marehemu(r.I.p) ya kuacha tu mapaja nje, kujiweka karibu na vidume, nk. kuna mchango wake mkubwa wa kubakwa kwake!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…