Arusha: Mwanafunzi wa Chuo cha Tumaini, Makumira abakwa hadi mauti

Arusha: Mwanafunzi wa Chuo cha Tumaini, Makumira abakwa hadi mauti

ase ni kitendo cha kinyama sana.apumzke kwa amani,dunia imebadilika sana nowadays jaman
 
Sijui tunaelekea wapi, hata kama maisha magumu hiki kitendo siyo cha kufumbiwa macho. Polen wafiwa kwa kuondokewa na mtu wa muhimu sana. Pumzika kwa Aman.
 
Za saizi wana jamvi......
Habari kutoka kwa wanafunzi wanao soma hapo ni kwamba huyo dada alikua naishi kwenye nyumba moja ya staff na huyo staff alikua kma ndugu yake.
Lakini tukio limefanyanyika njee kidogo ya chuo na inasemekana amejikika sana sana kwenye mambo ya muziki kma baadhi ya picha zinavo onesha kwani hicho chuo pia kina fundisha muziki, na jana kabla ya mauti kumfika kuna moja ya darasa lilikua na kipindi kwenye ukumbi mkubwa na baadhi ya mwaka wa kwanza walikua njee kwasababu mlango ulikua umefungwa na Yeye alijaribu kufungua lkn hakuweza, ila baada ya mauti hayo kumfika Jana kuamkia Leo nje ya maeneo ya chuo kwenye shamba la mpunga ambako ndipo mwili ulipo kutwa wa marehemu huyo baadhi wanadai alikutwa na jeraha la kisu ila hakuna uhakika wa ilo, Dada huyo kama picha zinavyo jionyesha alikutwa uchi. Inasemekana kuna lodge karibu ila tusubirie habari zinakazo tolewa juu ya mazingira yalio pelekea mauti ya Dada huyo.

Mtu yeyote ambae ana taarifa zaidi au kma kuna sehemu anahisi haiko sawa katibu kwani hizi ni habari kutoka kwa wanafunzi wa chuo hicho.
 
mtungo wa watu 30 sio wa kawaida.. nna uhakika walimpiga DOUBLE PENETRATION huyu mtoto, na jinsi ngada inavyotamaniwa siku hizi pata picha watu 30 wote wamemla ngada. balaa asee.
Hao ni suspects tu hawajawa proved kuwa wamefanya kosa hilo la kinyama.
 
Mkuu hebu tulia ulete taarifa kamili. Alibakwa katika mazingira gani?
 
Mkuu hebu tulia ulete taarifa kamili. Alibakwa katika mazingira gani?
Utaipata mkuu kwavile ni tukio limefanyika usiku sio rahisi na habari zimechelewa kutufikia tuwe wa pole mazingira ya tukio yakipatikana yanayo eleweka tutajuzana kwasababu uki uliza ilikuaje hupati jibu kamili hii ishu ni circumstantial so lazima upate habari kwa watu wengi then uchambue coz no one alikuepo likifanyika zaidi ya hao walio fanya tukio. Mkuu nadhani umenipata.
 
Mkuu nini chanzo had ufanyiwe hiv binti wa watu inaumiza sana
 
wawe suspects wasiwe suspects if the girl was bleeding from the asshole then she was raped bro.
Sijakataa ila ikumbukwe kua every person is innocent untill he proved guilty bro we cannt treat them like criminals while uchunguzi unaendelea na haijawa proved kuwa wao ndo wamehusika hivo ndo sheria ya nchi inasema na katiba pia.
 
dah! apumzike panapostahili dogo alikuwa anakula upepo tanga beach resort
 
Marehemu Juliana pia alipata kushiriki kwenye video ya kijana diamond kwenye nyimbo ya Salome!
5c731187693714dbcccd366c3dccf801.jpg

296da474dc3ca8287c3738e320342f93.jpg


-Nyerere-
Is it true?!

Ndio huyo
 
Mie nashangaa kwa kweli hatakama ni kisasi basi wange mbakishia tu uhai wake watu wanaroho ngumu
Pengine walijua baada ya kumfanyia huo unyama.....huyo binti angekwenda kwenye vyombo vya sheria na usalama na kuwataja wahusika....so ili kumaliza kesi wakaona ni bora wamdedishe kabisa mabaradhuli wakubwa hao.......sperm zitaonyesha tu dna zao mbwa kabisa hao
 
Huwezi kumlaumu kwakuwa hujui hasa ni eneo hatari kiasi gani.

Pale Makumira chuo kimezungukwa na wanywa gongo na wavuta bangi eneo la Kilala.
Wale wameru wamechukia sana uwepo wa chuo hasa wanafunzi waliokuja kuharibu tamaduni yao ya jadi hasa maadili.

Pia kumbuka ,Pale chuo kipo kijijini,Arumeru,Watu wa Kilala,Singisi na USA river hasa vijana wanatumia sana yale majani ya Kisimiri na mwisho wake ndo huo ubakaji.

Picha nineziona watsupp hazifai.

Siku za Mwisho kutakuwa na matukio ya kutisha,haya yalitabiriwa na Kristo,na sasa yanatokea.

Nawasihi ndugu zangu ,hili tukio tumhusishe SHETANI moja kwa moja na si siasa wala chama!

Pole sana Wanawake wote wa dunia hii,pole wazazi wenye watoto wa kike,Pole kwa wanaume wote wanaojali wanawake na Mungu ndio ataamua kumweka anapostahili,siwezi kumpangia amiweke wapi maana maandiko (Biblia) ipo wazi!
 
Back
Top Bottom