Blank page
JF-Expert Member
- May 28, 2015
- 5,487
- 4,817
ase ni kitendo cha kinyama sana.apumzke kwa amani,dunia imebadilika sana nowadays jaman
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Samaki ni wengi mkuu lakin sio wote wana vurikaDah! wanawake wote hao walivyokuwa wengi mpaka leo hii kuna MIJITU bado inaBAKA TUU....
Aaarghhh..
Hao ni suspects tu hawajawa proved kuwa wamefanya kosa hilo la kinyama.mtungo wa watu 30 sio wa kawaida.. nna uhakika walimpiga DOUBLE PENETRATION huyu mtoto, na jinsi ngada inavyotamaniwa siku hizi pata picha watu 30 wote wamemla ngada. balaa asee.
Utaipata mkuu kwavile ni tukio limefanyika usiku sio rahisi na habari zimechelewa kutufikia tuwe wa pole mazingira ya tukio yakipatikana yanayo eleweka tutajuzana kwasababu uki uliza ilikuaje hupati jibu kamili hii ishu ni circumstantial so lazima upate habari kwa watu wengi then uchambue coz no one alikuepo likifanyika zaidi ya hao walio fanya tukio. Mkuu nadhani umenipata.Mkuu hebu tulia ulete taarifa kamili. Alibakwa katika mazingira gani?
wawe suspects wasiwe suspects if the girl was bleeding from the asshole then she was raped bro.Hao ni suspects tu hawajawa proved kuwa wamefanya kosa hilo la kinyama.
Sijakataa ila ikumbukwe kua every person is innocent untill he proved guilty bro we cannt treat them like criminals while uchunguzi unaendelea na haijawa proved kuwa wao ndo wamehusika hivo ndo sheria ya nchi inasema na katiba pia.wawe suspects wasiwe suspects if the girl was bleeding from the asshole then she was raped bro.
Is it true?!Marehemu Juliana pia alipata kushiriki kwenye video ya kijana diamond kwenye nyimbo ya Salome!
![]()
![]()
-Nyerere-
Pengine walijua baada ya kumfanyia huo unyama.....huyo binti angekwenda kwenye vyombo vya sheria na usalama na kuwataja wahusika....so ili kumaliza kesi wakaona ni bora wamdedishe kabisa mabaradhuli wakubwa hao.......sperm zitaonyesha tu dna zao mbwa kabisa haoMie nashangaa kwa kweli hatakama ni kisasi basi wange mbakishia tu uhai wake watu wanaroho ngumu