La gioconda
JF-Expert Member
- Nov 30, 2015
- 471
- 737
enyi wabakaji mungu anawaona
apumzike kwa amani Dada wa watu
apumzike kwa amani Dada wa watu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duuuh watu wana roho mbaya ata wale wa buku jero hawakuonekana kwel.enyi wabakaji mungu anawaona
apumzike kwa amani Dada wa watu
ExactlyNapinga Sana ubakaji ila mama aliniambia hivi siku moja: ukipita uchochoroni usiku na vibaka wakakukaba kabla hujawalaumu hao vibaka jilaumu wewe kwa kupita njia hatarishi!
Kwa life style ya Huyo marehemu(r.I.p) ya kuacha tu mapaja nje, kujiweka karibu na vidume, nk. kuna mchango wake mkubwa wa kubakwa kwake!
Mie nashangaa kwa kweli hatakama ni kisasi basi wange mbakishia tu uhai wake watu wanaroho ngumuDuuuh watu wana roho mbaya ata wale wa buku jero hawakuonekana kwel.
Mpaka watu nyomi wakamdandia
Pamoja mkuu tunaisubiri kwa hamuNitarudi tena naomba muda samahani kwa hilo.
Duuuh au wanafuz n hasira ya kukosa mkopo ndio wakaamua kumalizia hasira zao.Mie nashangaa kwa kweli hatakama ni kisasi basi wange mbakishia tu uhai wake watu wanaroho ngumu
yaani kwa mfano ambapo hujaelewa ni wapi???? nimeamini kuna watu mna uvivu wa kufikiri au ni upungufu wa akili. Yaani unaanzia wapi kudhani kuwa mtu anaweza kujitungia habari kuhusu Makumira??Poleni sana wafiwa ingawa mleta habari haijajitosheleza
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji134] [emoji134]Uwiioiiieee yeuwiiiiiiii auwiiiiiiii yeuwuiiiiiiii jaman nishikeni uwiioiiie
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji134] [emoji134]