Arusha: Mwanafunzi wa Chuo cha Tumaini, Makumira abakwa hadi mauti

Mwenye taarifa sahihi naomba kujua tafadhali,

Je, huyu binti ndiye video Queen kwenye wimbo wa Diamond wa Salome???

Maana kuna taarifa zinasambaa kuwa huyu juliana ndiye yule video queen wa kwenye wimbo ule wa Diamond,,

Naomba mwenye taarifa sahihi atujulishe,, kistaarabu tu bila matusi tunataka ukweli

Asante!
 


Uongo mkuu yule video queen wa kwenye wimbo wa diamond_salome anaitwa Hamisa.
 
inamaana wewe ukipiga picha mmadam uko bafuni, na bafuni watu huvua basi ukiiweka mtandaoni ni sawa?
kwamujibu wa maelezo yako ni kwamba hiyo picha kapiga sehemu husika na vazi ila hukuona tatizo ikiwemo kwenye mtandao.
We unaongea madudu gani bhana... hoja ya watu hapa ni kwamba ana tabia ya kutembea mapaja wazi simply because wameona picha ambayo kapiga beach! Unaleta mambo ya chooni na beach... wapi na wapi! Kwahiyo wewe unaweza kubaka msichana kwavile tu uliona picha yake Facebook?
 
Hapana bhana ila hivi karibuni alikuwa kwenye audition moja hivi mitaa ya Mikocheni kwa hili ya stage play!
 
urafik upo roho hazifanani na inafuatana umepembana na nani pia kuna wanawake makatili



ila kwa kitendo alichofanyiwa huyu bint ni kibaya sana apumzike kwa amani
Macho ya wanaume wengi kwa wadada yametawaliwa na mawazo mabaya ya kingono ngono na binu binua, ushahidi ni wewe ukimuona mdada mrembo mwenye shape huwa unawaza nini, mwenzao anasomea sanaa anapokuwa anayakata mauno field jukwaani yanakodoa macho kodo, yakiwaza na kuomba siku aingie kingi yamtafune, all in all R. I. P mpendwa wetu
 
Wewe ndiwe mpuuzi maana badala ya kuelewa hoja unadakia ujinga, hakuna anayetetea uovu uliofanyika, kila mtu analaani, ila kinachajadiliwa ni visababishi vya tukio lenyewe.
Visababishi vipi wewe? Weka hapa kisababishi kimoja unachokijua wewe!
 

Kwanini aweke picha ya beach fb?, kama ameweza kuweka fb hata kutembea na mavazi ya beach hashindwi
 
Kwanini aweke picha ya beach fb?, kama ameweza kuweka fb hata kutembea na mavazi ya beach hashindwi
We jamaa mtu wa ajabu sana! Kwahiyo una-assume sio?! Kwamba, kwavile ameweka FB picha aliyopiga beach akiwa mapaja wazi basi hashindwi kutembea akiwa mapaja wazi!! Nimekuuliza, wewe unaweza kubaka kwa ajili ya pic za FB?
 
We jamaa mtu wa ajabu sana! Kwahiyo una-assume sio?! Kwamba, kwavile ameweka FB picha aliyopiga beach akiwa mapaja wazi basi hashindwi kutembea akiwa mapaja wazi!! Nimekuuliza, wewe unaweza kubaka kwa ajili ya pic za FB?

Naona uelewa wako unamashaka. rudia kusoma post zangu then rudi na swali tofauti.
 
Huyu anaitwa Julliana issa ni vidio model katika nyimbo ya salome ya diamond alikuwa mwanafunzi wa chuo cha makunira kiliopo mkoani arusha akiwa anachuku shahada ya music hakika mungu akutangulie huko ulipo na akulaze mahali pema ilikuwa ni usiku wa kuamkia jana roho yako ilipotolewa na watu wasiokuwa na chembe ya huruma wala hofu ya mungu tena wameitoa huku wakikufedhehesha kwa kukubaka na kukulawiti bila huruma na kukuachia makovu sehemu mbalimbali za mwili wako na kukutupa kwenye poli liliopo pembezon mwa barabara.Julliana,naamin umedhulumiwa roho yako uku ukiwa na ndoto kibao za maisha yako ya baadae pia familia yako ikijuwa mtoto wao yuko chuoni makumira ili ukimaliza uweze wasaidia kwa namna moja ama nyingine julliana naamin katika hili kila aloshiriki katika kutoa uhai wako huku wakikubaka na kulawiti mungu hakuwa amelala ila amewaona na atawapa kinachstahiri kwao iwe hapa duniani au huko mbinguni,naamini bwana ametwaa jina la bwana lihidimiwe milele
 
Usilete hapa mifano ya marekani maana ndo waasisi wa ushoga
 
Naona uelewa wako unamashaka. rudia kusoma post zangu then rudi na swali tofauti.
Ikiwa umeshindwa kujibu hata swali ambalo lipo straight forward halafu unaanza ku-doubt uelewa wa wengine then utakuwa na matatizo makubwa sana! Narudia: Wewe unaweza kubaka baada ya kuwa influenced na pic uliyoiona Facebook?

Kama huna jibu, nafunga mjadala!
 
Hapa kuna visa vya mapenzi... mapenzi yanaua wanadamu kama magonjwa mengine.. na mapenzi ukimdhulumu mtu au mwanamke katunzwa, kasomeshwa, kwa miaka na mwanamme alafu aje amgeuke huyo mwanaume, hapo ndio haya yanatokea.. kuuana..!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…