Arusha: Mwanafunzi wa Chuo cha Tumaini, Makumira abakwa hadi mauti

Umeongea vizur kabisa
Hakuna kitu kinacho-justify huyo dada kubakwa
Kuna mijitu inasema "oohh itakuwa kamsaliti bwana wake" tuweke unafiki pembeni je wanaume wangapi wanawasaliti mademu zao je wanapewa ukatili huo
We kama unatamani demu hadi kumbaka kisa hiyo picha ya beach wewe ni F.ALA tena ni M.PUMBAVU
mwenye tabia za kis.enge zaidi ya mbwa aliyenyimwa utashi
 
Sasa hivi naogopa watu wenye jinsia ya kiume. Nikiwaona nabadili njia.
Sitaki hata kukutana na nyie..
Swainnnnnnn

Hapana cute b so wote tupo na roho za kibakaji namna hii. Tumeguswa sana kwa kweli. Usituchukie wote.
 
inamaana wewe ukipiga picha mmadam uko bafuni, na bafuni watu huvua basi ukiiweka mtandaoni ni sawa?
kwamujibu wa maelezo yako ni kwamba hiyo picha kapiga sehemu husika na vazi ila hukuona tatizo ikiwemo kwenye mtandao.
Yeah....I get you very well. Sio kila picha inapaswa kuwekwa ktk mitandao maana picha utakayoiweka ktk mitandao inakuwakilisha wewe. Tujifunze kuwa na privacy kuheshimu miili yetu. Though sijui km huwa anavaa hivyo nje ya mitandao Ila walombaka walichokifanya sikiungi mkono kabisa. R.I.P Juliana
 
Sasa hivi naogopa watu wenye jinsia ya kiume. Nikiwaona nabadili njia.
Sitaki hata kukutana na nyie..
Swainnnnnnn
Hahahahahaa, walishakutenda nn? Pole mdogowangu, hebu nitafute kuleee unambie ilvokuwa.
 
Sasa hivi naogopa watu wenye jinsia ya kiume. Nikiwaona nabadili njia.
Sitaki hata kukutana na nyie..
Swainnnnnnn
Inabidi uhame na humu jf maana wapo wengi utakutana nao
 
Hiyo account unaona ni salama wewe? kwanza dada mwenyewe anaonekana napenda starehe we unategemea nini? na ubaya zaid ni msanii sura yake inajulikana mwachoni mwa wengi we unategemea nn? ndo maana nasema uchunguzi ufanyike kwanza
Usalama upi wa hiyo account unaohoji wewe? Kuna tatizo gani kwa mtu kuwa msanii? Umetumia vigezo gani ku-conclude kwamba anaonekana anapenda starehe?
 
Mwanamke akivaa uchi na kutembea hivyo ni kanuni ipi inayokushurutisha mwanaume kumbaka? Umelazimishwa na nani kumwangalia? Tuache kuhalalisha upuuzi kwa sababu dhaifu.
Kama mwanaume anaebaka tutakubaliana nae kwa kisingizio cha mwanamke kutembea uchi,je wale wanaobaka mbwa,punda na mbuzi,wao huwa wanavutiwa na kipi kwa hao wanyama?
Ukitafakari haya utaona kuwa kinachotusumbua ni kujiendekeza na kujifyatua akili tu na si jingine lolote. Tuache visingizio.
 
Kweli kabisaa. Je na wanaobaka watoto wadogo au wanafunzi/ Je wale wanabaka vibibi vizee, hao nao wametembea uchi? Wabongo tunapenda sana kuhalalisha upuuzi. Tabia za kishenzi tuu.
 
hawa jamaaa kweli kisimis ipigwe vita tu maana haya ndio baadhi tu ya madhara ya mneri sasa watu 30 da uchaf
 
Mkuu umesema tunatumia majani ya kisimiri? Sisi ni watu wazuri sana mkuu...Mimi pia nalaani sana hicho kitendo alichofanyiwa huyo binti, May her soul rest in eternal peace. Amen
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…