Arusha: Mwanafunzi wa Chuo cha Tumaini, Makumira abakwa hadi mauti

Mbona huyo msichana anaonyesha kabisa mkuu? mimi nashangaa mijitu imekomaa huko inamtetea eti vile vivideo kule insta ni vya kawaida eti havina shida
Acha kuita wenzako majitu kwavile tu hawakubaliani na wewe! kama ni majitu basi hata wewe mwenyewe ni jitu tena lisilo hata na haya! Ni jitu lenye akili za hovyo tu ndie anaweza kuhalalisha mtu kuuawa kwa hoja za kpiuuzi kabisa... shame on you! Unajifanya una mahadili; una maadili gani wewe?
 
We ni mpuuzi tu ambae inaonekana una damu yaa kupenda uhalifu mpuuzi mkubwa wewe! Ni mpuuzi tu ndie anaweza kuhalalisha mtu kuuawaa kwa kigezo eti anaenda beach; boya wewe! Na wewe unaonekana una damu ya ubakaji ndo maana unatetea hao washenzi kwa kutoa justification za kijinga
 
We unayejiita big gift lazimaa utakuwa na elements za ubakaji au uhalifu na ndio maana umekazana kuongea ujinga usio na mashiko!
 
Kumbe nilikuwa najibishana na mgonjwa wa akili...

Sasa wakuu kama nilivyojielezea hapo nawezaje kuepukana na hali yangu hii niliyonayo?


Nawasilisha.
Kwa thread yako hiyo umehitimisha mjadala huu kwa sababu mtu mwenye akili timamu hawezi kung'ang'ania kwamba yule msichana alikuwa malaya na mpenda starehe wakati hata kumjua humjui... Kwa thread yako hii, unaonesha wazi una matatizo!!! Na hata waliokuwa wanaku-support sidhani kama walifahamu walikuwa wana-support mtu mwenye matatizo ya akili!
 

Nashaka anaweza kuwa anajua kuhus mmuaaji au anahusika moja kwa moja, ingekuwa nchi za watu huyu angechunguzwa wa kwanza, maana haiwezekani awe na chuki kiais hiki na marehemu.
 
Sifatilii maisha ya mtu ila hiko kitu hapo juu labda alitapeli. Sasa mtu hana makosa atauliwaje?? we huoni kuna sababu na pia kifo chake kama kilipangwa
Watu wanaobakwaga wote wamepangiwa? Binadam sijui mkoje
 
Utamadun wa kiafrica unaujua ww? Mwafrica asili yake kukaa uchi nguo alizileta mzungu lbd km ina africa nyingine unayoisemea mwenzetu!
 
RPC hapa Kituoni amesema marehemu kifo chake kinachunguzwa,na mwenye ushaidi ni nani kahisika hasa awasiliane nasi kituo chochote cha polisi
 
Halaf mkuu watu hawasoma huku na wengi wao ni form 4 failure. Yan hata kutumia zile newton laws of motion wanashindwa kutatua hili tatizo?

Hata kama wamefaulu ni yale masomo ya sanaa
[emoji23][emoji23][emoji23] sasa nmeelewa naongea na mtu wa aina gani..ww na sayansi uliyosoma imekusaidia nn? Km sio bla bla za jf hp..kwanza elimu ynyw huna am sure ungekua nayo usingekua unatype hivo unavyovitype..science takers hatuko km ww
 
Na yy mwanaume alieweka avatar ya kike tumtuhumu kua ni kina kaoge ai james delishaz??..yy si bingwa wa kuhukumu tokana na picha za kwny social network?
 
Yaan nashindwa nimuweke kundi gan maana hata neno useless no dogo kwake
 
Ss w ukikasirika kuna hasara gan..kasirika hata ufe kabisa..huna faida! Mnavamia tu jukwaa la great thinkers
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…