Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umejuaje amepita eneo hatarishi usiku wakati habari haijakamilika na hakuna taarifa kamili ya jinsi ubakaji ulivyofanyika na watuhumiwa ni kina nani?Msiwe wa nafiki angalie alivyo ni kielelezo tosha kubakwa kwake ni mazingira yake aliyojijengea.
Unapita mazingira hatarishi usiku na viguo vya maajabu unategemea nini
Kuwapa pesa za kutosha akiwa chuoni ili apunguze tamaaa za kijingaAisee kitendo kibaya sana hiki, sijui tufanyaje kuwalinda mabinti wetu
Anavaa uchi hv aacha abakwe mshahara,wa dhambi ni mauti
Sipendi unafiki wanawake mnasababisha wenyewe tamaa ya kubakwa unatembea uchi ukionekana mtaani wahuni wanadhani wewe ni kahaba jaribu kujistahi.
Poleni wafiwa
Umejuaje kwamba ana tabia ya kuacha mapaja nje?! Unamfahamu personally au umem-judge kwa kuangalia hiyo picha hapo juu ambayo exactly mazingira ya sehemu husika yanaruhusu kuwa mapaja nje?! Kama umem-judge kwa kuangalia hiyo picha, unaweza kusema pia ana tabia ya kutembea na slippers kama anavyoonekana kwenye picha husika?Napinga Sana ubakaji ila mama aliniambia hivi siku moja: ukipita uchochoroni usiku na vibaka wakakukaba kabla hujawalaumu hao vibaka jilaumu wewe kwa kupita njia hatarishi!
Kwa life style ya Huyo marehemu(r.I.p) ya kuacha tu mapaja nje, kujiweka karibu na vidume, nk. kuna mchango wake mkubwa wa kubakwa kwake!
Picha zipi kwa mfano?!Huyo binti nae hizo picha zinaonyesha alikuwa mhuni mavazi gani hayo mapaja yote nje!
-Nyerere-
Hamna urafiki kati ya mwanaume na mwanamke kweli.
Mungu ailaze roho yake mahali pema peponi