God'sBeliever
JF-Expert Member
- Sep 1, 2015
- 5,788
- 3,033
Mkuu umenivunja mbavu ila ni kweli ishu za mtungo ni kawaida sana huyo mwanamke walimkabaUnamaanisha alipigwa mtungo au alibakwa? Mtungo issue ya kawaida tu kwa watoto wa shule/chuo ila hii mpaka ya kumuua ilizidi! Dah Pole zake
Sio tu Marehemu hasemwi lakini alichosema hakipo manake amem-judge kwa kuangalia picha aliyopiga beach... sasa sijui ni wasichana wangapi wanavaa madela wakiwa beach.Unatumia jina kubwa sana tanzania ila unaongea pumba.Marehemu huwa hasemwi kwa utamaduni wa kitanzania.Halafu angalia maeneo aliyopo wakati wa kupiga picha.
kama usemavyo ni sahihi, basi ulaya kesi za ubakaji tungesikia kila siku maana wao mapaja 24/7 ni nje njeNapinga Sana ubakaji ila mama aliniambia hivi siku moja: ukipita uchochoroni usiku na vibaka wakakukaba kabla hujawalaumu hao vibaka jilaumu wewe kwa kupita njia hatarishi!
Kwa life style ya Huyo marehemu(r.I.p) ya kuacha tu mapaja nje, kujiweka karibu na vidume, nk. kuna mchango wake mkubwa wa kubakwa kwake!
Sio yeye bwana wa kwenye video ya salome anaitwa Lilian acheni kumchulia mtoto wa watuyes ni yeye
Ulichotuma hakifunguki sasa ndo umejibu nn
Hizo habari zilizushwa tu na wafananishaji ila zimeshakanushwa tayari, na angelikua ni yeye basi WBC wangekua miongoni mwa watu wa kwanza kuthibitishaJaribu tena.
Ila sio sababu yakutoa uhai wa mtu na hata mtu akiumizwa vip sio sababu ya kufanya unyama huo.Tupate na story ya upande wa pili maana vibinti vya siku hizi vinajua kuumiza kweli wanaume vikifikiria vinakomoa kumbe wao wanakomolewa. Ninahisi kuna jambo limepelekea hayo kutokea. Tupate ukweli wa pande zote. Mungu ailaze roho yake pale inapostahili
Hizi habari zimeshakanushwa! Achen kusambaza hii kitu ni ya uongo! Na ingelikua ni kweli basi WBC wangekua ni kiongoni mwa watu wa kwanza ku thibitisha
LadyAJ, hebu iweke vizuri hii! ina maana hii habari niya kutunga!! jamani wana wa adamu tumekuwaje? aiseee!Hizi habari zimeshakanushwa! Achen kusambaza hii kitu ni ya uongo! Na ingelikua ni kweli basi WBC wangekua ni kiongoni mwa watu wa kwanza ku thibitisha
Tuwape Semina Za Kutokupendelea Kuvaa Nguo Fupi Labda Inaeza Kusaidiaa MkuuAisee kitendo kibaya sana hiki, sijui tufanyaje kuwalinda mabinti wetu
Unatumia jina kubwa sana tanzania ila unaongea pumba.Marehemu huwa hasemwi kwa utamaduni wa kitanzania.Halafu angalia maeneo aliyopo wakati wa kupiga picha.