Habari si ya kutunga, ila mtu aliyeuwawa si video queen wa Salome kama watu wanavyosambaza inasemekana video queen wa salome anaitwa Lilian wakati aliyeuwawa anaitwa JulianaLadyAJ, hebu iweke vizuri hii! ina maana hii habari niya kutunga!! jamani wana wa adamu tumekuwaje? aiseee!
Hakuna sababu inayomfanya mwanaume abake hata Kama alikuwa uchi,watu wanabidi waache excuses kwani wote waliousika watawekwa ndani tu.Napinga Sana ubakaji ila mama aliniambia hivi siku moja: ukipita uchochoroni usiku na vibaka wakakukaba kabla hujawalaumu hao vibaka jilaumu wewe kwa kupita njia hatarishi!
Kwa life style ya Huyo marehemu(r.I.p) ya kuacha tu mapaja nje, kujiweka karibu na vidume, nk. kuna mchango wake mkubwa wa kubakwa kwake!
Sasa mtu yupo beach ulitaka avae gunia ?
we lazima exposure na ufahamu wako ni mdogo. Kuna nchi huyo ndio anahesabiwa kavaa vizuri na hakuna historia za kubakana. Ebu mjitafakari sometimeskwa hizo picha juu huenda amegonganisha mabwana au kala hela za wanaume halafu anawakimbia sasa 40 zimemfikia
Kwahiyo mikoa mengine haina matukio ya uhalifu? Masaburi mind set..Tatizo Arusha hamumpi ushirikiano mkuu wa mkoa na kamati yake je usalama wenu utatoka wapi? Kazi siasa na kukosoa utendaji wa Rais
Usiwe mwepesi kuhukumu.Napinga Sana ubakaji ila mama aliniambia hivi siku moja: ukipita uchochoroni usiku na vibaka wakakukaba kabla hujawalaumu hao vibaka jilaumu wewe kwa kupita njia hatarishi!
Kwa life style ya Huyo marehemu(r.I.p) ya kuacha tu mapaja nje, kujiweka karibu na vidume, nk. kuna mchango wake mkubwa wa kubakwa kwake!
Wewe unaishi nchi ipi ? Tuanzie hapo kwanza usikute upo kule ambapo mwanamke kuendesha hata gari haruhusiwiTatizo sio tu kuwa beach, kama ameweza kuziweka hadharani basi hata mitaani hashindwi kuvaa hivyo.
Una uhakika na kauli yako?shauri yake, alikula vya watu bila kulipa
Wewe unaishi nchi ipi ? Tuanzie hapo kwanza usikute upo kule ambapo mwanamke kuendesha hata gari haruhusiwi
Hivi huyo binti kavaa kipi cha ajabu hapo ? Shida yetu Watanzania ni unafki uliopitiliza
Mnataka mtetee wabakaji walio toa uhai wa mtu kisa sijui mavazi aliyovaa ?
Wewe utasababisha nile panadol ,endelea na wengineHakuna anayetetea ubakaji hapa, tunazungumzia vichocheo vya tukio, bint mrembo halafu mchanga kama anavyoonekana unafikiri rijali gani anaweza pishana naye asigeuke kuona alichojaaliwa nacho, baada ya hapo nini kitafuata?
Hayo mavazi amevaa kulingana na mazingira, ni sawa na kupiga picha swimming pool ukiwa mapaja yote nje au uko na chupi tu
And this is supposed to be Home of Great Thinkers!Mbona watu wanatafuta justification za kijinga kwamba "picha zake?" Ni picha gani hapo inayowashitua nyinyi? Hiyo ya beach, au? Hivi mtu unaweza kusema "huyu anavaa vibaya" kwa vazi kama hilo na kwa sehemu aliyokuwapo? Mmejaribu kutembelea account yake ya Facebook mkaangalia dressing yake ilivyo?!
Madada wanapenda sana kukaa uchi Instagram... account yake hii hapa: Juliana Isawafo. Tembeleeni muone kama anafanana na hayo madai yenu kwamba "uvaaaji wake" kauli mnayolenga kutaka ku-justify ushenzi aliofanyiwa.
Hao wanaosema wanawake wanatembea uchi na wanawatega wanaume na kuona adhabu yao ni kubakwa ,okay.
Sasa jua kwamba hata wewe,mkeo ama mwanao awapo mbali na upeo wako,ama kwenye harusi ama shule,Ukipewa picha yake utaweza kuzimia!