DOKEZO Arusha: Mwanafunzi wa darasa la 6 abakwa hadi kuzimia

DOKEZO Arusha: Mwanafunzi wa darasa la 6 abakwa hadi kuzimia

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'

Bushmamy

JF-Expert Member
Joined
Aug 18, 2019
Posts
9,140
Reaction score
15,963
Mwanafunzi wa darasa la 6 mwenye umri wa miaka 11 anaesoma katika shule ya msingi Ungalimited amebakwa hadi kuzimia pamoja na kutoka damu nyingi na kijana ajulikanae kwa jina la kelvin anaekadiriwa kuwa na umri wa miaka 25.

Tukio hilo limetokea wakati binti huyo akiwa njiani akitoka shule ndipo kijana akatumia mwanya huo kumrubuni kwa kumtuma mafuta ya kupikia dukani ndipo alipomwambia amletee ndani na kupata mwanya wa kufanya jambo hilo.

Bibi wa mtoto huyo alitaka kuyamaliza kimya kimya baada ya kupewa kitu kidogo na kijana huyo.
Hadi sasa kijana huyo hajakamatwa.

Kesi hiyo tayari imeripotiwa na majirani kituo kikuu cha polisi Arusha.



Angalizo; matukio haya bado hayakomi, serikali iangalie namna ya kubadilisha sheria iwe kali zaidi ,hata ya kupigwa risasi hadharani ili kukomesha kabisa ukatili huu.
 
Mwanafunzi wa darasa la 6 mwenye umri wa miaka 11 anaesoma katika shule ya msingi Ungalimited amebakwa hadi kuzimia pamoja na kutoka damu nyingi na kijana ajulikanae kwa jina la kelvin anaekadiriwa kuwa na umri wa miaka 25.

Tukio hilo limetokea wakati binti huyo akiwa njiani akitoka shule ndipo kijana
akatumia mwanya huo kumrubuni kwa kumtuma mafuta ya kupikia dukani ndipo alipomwambia amletee ndani na kupata mwanya wa kufanya jambo hilo.


Bibi wa mtoto huyo alitaka kuyamaliza kimya kimya baada ya kupewa kitu kidogo na kijana huyo.
Hadi sasa kijana huyo hajakamatwa.


Kesi hiyo tayari imeripotiwa na majirani kituo kikuu cha polisi Arusha.
 

Attachments

  • IMG-20250115-WA0008.jpg
    IMG-20250115-WA0008.jpg
    77.1 KB · Views: 3
Ungalimited hii shule imekaa pabaya sana, huku upande mwingine kuna mto ngarenaro umejaa wavuta mpepe, kama sio ile fence ya miaka ile hali ingekua mbaya sana

Nje ya mada, hivi yule mwamba aliyekua analoweka nguo kwenye mawino meusi bado yupo kule mtoni nina miaka sijaja huku ubangini
 
Bibi wa mtoto huyo alitaka kuyamaliza kimya kimya baada ya kupewa kitu kidogo na kijana huyo.
Hadi sasa kijana huyo hajakamatwa.
Jana nilimuona mwingine amebananishwa kwenye kichaka usiku tena kajipeleka mwenyewe yupo na kidume kinamuingia mara 3 yaan mkubwa sana, nikajisemea yule si mtoto yule anafanya nini pale? hawa madogo wanatolewa bikra wakiwa wadogo sana siku hizi
 
Wanaendaga kwa wa pole,, aisee mi nakuchinja pia natoa kifanyio kinakaa pembeni na makegeli yanajitegemea hayo yatafanyika ukiwa huku ukinielezea utamu wa makubya mtoto wa miaka sita.
 
Watu kama hao si wa kuonea huruma, hao inatakiwa wabakwe na wao
 
Watu kama hao si wa kuonea huruma, hao inatakiwa wabakwe na wao
 
Ukatili tu, huyo dogo ulimwengu umfunze. Bibi mtu anaweza hata kumshawishi binti asitoe ushahidi.
 
Back
Top Bottom