Mla Bata
JF-Expert Member
- Jan 24, 2013
- 7,841
- 17,491
"Certified"paedophile
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
"Certified"paedophile
Mwanafunzi wa darasa la 6 mwenye umri wa miaka 11 anaesoma katika shule ya msingi Ungalimited amebakwa hadi kuzimia pamoja na kutoka damu nyingi na kijana ajulikanae kwa jina la kelvin anaekadiriwa kuwa na umri wa miaka 25.
Tukio hilo limetokea wakati binti huyo akiwa njiani akitoka shule ndipo kijana akatumia mwanya huo kumrubuni kwa kumtuma mafuta ya kupikia dukani ndipo alipomwambia amletee ndani na kupata mwanya wa kufanya jambo hilo.
Bibi wa mtoto huyo alitaka kuyamaliza kimya kimya baada ya kupewa kitu kidogo na kijana huyo.
Hadi sasa kijana huyo hajakamatwa.
Kesi hiyo tayari imeripotiwa na majirani kituo kikuu cha polisi Arusha.
Mwanafunzi wa darasa la 6 mwenye umri wa miaka 11 anaesoma katika shule ya msingi Ungalimited amebakwa hadi kuzimia pamoja na kutoka damu nyingi na kijana ajulikanae kwa jina la kelvin anaekadiriwa kuwa na umri wa miaka 25.
Tukio hilo limetokea wakati binti huyo akiwa njiani akitoka shule ndipo kijana akatumia mwanya huo kumrubuni kwa kumtuma mafuta ya kupikia dukani ndipo alipomwambia amletee ndani na kupata mwanya wa kufanya jambo hilo.
Bibi wa mtoto huyo alitaka kuyamaliza kimya kimya baada ya kupewa kitu kidogo na kijana huyo.
Hadi sasa kijana huyo hajakamatwa.
Kesi hiyo tayari imeripotiwa na majirani kituo kikuu cha polisi Arusha.
Watu wnawaza Sana ngono na fantasy mbalimbali , Kijana anapokuwa na unproductive thoughts lazima afikirie kubaka.
Na la mwisho nyie mnaozaa watoto na kumpelekea Bibi akulelelee ni kukosa kuyakabili majukumu effectively.
Kitaalamu unashuriwa kuwa productive thoughts.Excuse me, hata Kama sina unproductive siwezi kuwaza ngono au kubaka, no excuse kwa Mbakaji, unaweza kuwaza ngono lakini usibake!
Serikali anzeni na huyu hapa mbakaji namba mojaLabda jamaa alikuwa anakabana mdomo na pua kasitoe sauti ndo kakakosa hewa kakazimia
Lakin kwa boloyang tu,huwez kukazimisha kabinti ka miaka 11
Kitaalamu unashuriwa kuwa productive thoughts.
Maana Saikolojia za watu huanza kuharibika hadi kufikia kuvaa ukatili n.k baada ya kukosa productive thoughts.
huyo dawa yake ni kumkata uume,unamwingiliaje mtoto mdogo kiasi hicho? mimi ningekuwa baba wa mtoto ningemkatakata kwa mapanga hadi afe alaf najipeleka polisi mwenyewe,wacha niishie jelaMwanafunzi wa darasa la 6 mwenye umri wa miaka 11 anaesoma katika shule ya msingi Ungalimited amebakwa hadi kuzimia pamoja na kutoka damu nyingi na kijana ajulikanae kwa jina la kelvin anaekadiriwa kuwa na umri wa miaka 25.
Tukio hilo limetokea wakati binti huyo akiwa njiani akitoka shule ndipo kijana akatumia mwanya huo kumrubuni kwa kumtuma mafuta ya kupikia dukani ndipo alipomwambia amletee ndani na kupata mwanya wa kufanya jambo hilo.
Bibi wa mtoto huyo alitaka kuyamaliza kimya kimya baada ya kupewa kitu kidogo na kijana huyo.
Hadi sasa kijana huyo hajakamatwa.
Kesi hiyo tayari imeripotiwa na majirani kituo kikuu cha polisi Arusha.