DOKEZO Arusha: Mwanafunzi wa darasa la 6 abakwa hadi kuzimia

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Watu wnawaza Sana ngono na fantasy mbalimbali , Kijana anapokuwa na unproductive thoughts lazima afikirie kubaka.

Na la mwisho nyie mnaozaa watoto na kumpelekea Bibi akulelelee ni kukosa kuyakabili majukumu effectively.
 

Nikisikia habari kama hizi, nahuzunika sana. Hii dunia ya leo bado kuna watu wanabaka?
 

Ni sawa, wakamfunge Poa tu, cha maana Bibi kapiga hela
 
Watu wnawaza Sana ngono na fantasy mbalimbali , Kijana anapokuwa na unproductive thoughts lazima afikirie kubaka.

Na la mwisho nyie mnaozaa watoto na kumpelekea Bibi akulelelee ni kukosa kuyakabili majukumu effectively.


Excuse me, hata Kama sina unproductive siwezi kuwaza ngono au kubaka, no excuse kwa Mbakaji, unaweza kuwaza ngono lakini usibake!
 
Inasikitisha sana kuona vijana tunafanya mambo ya ovyo kiasi hiki
 
Excuse me, hata Kama sina unproductive siwezi kuwaza ngono au kubaka, no excuse kwa Mbakaji, unaweza kuwaza ngono lakini usibake!
Kitaalamu unashuriwa kuwa productive thoughts.

Maana Saikolojia za watu huanza kuharibika hadi kufikia kuvaa ukatili n.k baada ya kukosa productive thoughts.
 
Duh hatari, yaani watu ni wanyama, Kuna sehemu nilisoma kiongozi fulani wa dini alioa katoto ka miaka sita kisha akaja kukanyandua kalipotimiza miaka tisa, inatia kichefu chefu
 
Kitaalamu unashuriwa kuwa productive thoughts.

Maana Saikolojia za watu huanza kuharibika hadi kufikia kuvaa ukatili n.k baada ya kukosa productive thoughts.

Ni sahihi na ni vyema, lakini naogopa ku justify Ubakaji, ni jambo la hovyo sana hasa linapomhusisha mtoto
 
huyo dawa yake ni kumkata uume,unamwingiliaje mtoto mdogo kiasi hicho? mimi ningekuwa baba wa mtoto ningemkatakata kwa mapanga hadi afe alaf najipeleka polisi mwenyewe,wacha niishie jela
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…