Sol de Mayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2016
- 6,515
- 6,230
Unawajua Wahaya vizuri Mkuu?
Alafu hatuna shobo na watu wa mwanza,Hebu leta mada ya mhaya anaeusifia mji wake na kuuponda mji mwingine, hili tunaliona especially kwa baadhi ya wanakaskazini,
Hivi kweli akili tu ya kawaida mnawezaje, mna ujasiri gani kuicompare MWANZA na kiji Arusha!!! Dah aibu 😅😅
Alafu hatuna shobo na watu wa mwanza,
Muhaya nendeni uwanja wa fisiHebu leta mada ya mhaya anaeusifia mji wake na kuuponda mji mwingine, hili tunaliona especially kwa baadhi ya wanakaskazini,
Hivi kweli akili tu ya kawaida mnawezaje, mna ujasiri gani kuicompare MWANZA na kiji Arusha!!! Dah aibu 😅😅
Mwanza hiphop City kama ilivyo chugah,siye na sisi wote wagumu hakuna mchele mchele kama wanaume wa dar wasio na nguvu za kiumeSio wewe, ila kuna wengine humu hata aibu hawaoni!!
Hayo ndo maelekezo...🤣🤣🤣Punguza shobo
Fire kinyamaChugga ni 🔥
Ila ndo linakuza uchumi wa tzJiji LA wahuni
Washamba jeans za elfu 13 kariakoo nyie bado sanaChugga ni 🔥
Na chana kidogo chalii anguVipi babaa, umepatwa na nini tenaa 🤣🤣🤣
Na chana kidogo chalii angu
Nisamehe mimi kwa kukusahihisha nmekosa mkuuSooo
kama bahari itahamia arusha utabidi pia mkubaliane na mabadiliko ya heli ya hewa ya joto kali yanayoendana na uwepo bahari. je watu wa arusha mtakuwa tayari kuishi katika mazingira yenye joto?.Kwanini bahari ya hindi isihamie arusha??
Niko mabibo hapa nit naona huku kuna shida ya maji sana,wa mama wanafuata maji ubungo,yani mpaka unawaonea huruma,alafu sasa hakuna umeme watu wamewasha tu jenereta.kama bahari itahamia arusha utabidi pia mkubaliane na mabadiliko ya heli ya hewa ya joto kali yanayoendana na uwepo bahari. je watu wa arusha mtakuwa tayari kuishi katika mazingira yenye joto?.
NB: nipo arusha hapa katikati ya mji.
naona mji wenu unapitia hali mbaya ya mgao wa umeme, vilio kila sehemu. ila huyu mama hii nchi imeshamshinda,naanza kumkumbuka magufuli licha ya mapungufu yake.
taifa linapitia hali ngumu.Niko mabibo hapa nit naona huku kuna shida ya maji sana,wa mama wanafuata maji ubungo,yani mpaka unawaonea huruma,alafu sasa hakuna umeme watu wamewasha tu jenereta.
Arusha hatupendi joto
Nyumba inayoongozwa na mwanamke daima mfumo wa kike unakuwepo mpaka watoto wanajifunza hivyo hivyo kwa mama yao,sio siri nnchi ishakuwa ya kike hiitaifa linapitia hali ngumu.
Hakuna sehemu kama Arusha, hali ya hewa safi, wakazi wa arusha wakarimu sana, pesa inapatikana ukijituma utapata,watu wa arusha wajanja, wazungu kwetu washikaji zetu.
Natanguliza shukrani kwa mwenyezi Mungu,mwingi wa rehema mwenye kutukuka,uliyekuwepo toka mwanzo na utakuwepo mpka milele.
Nimezaliwa arusha enzi zile na nikakulia arusha,nikasoma sanawari primary school,sec nikasoma Edmunds rice sinon school,chuo nikasoma mwika college of tourism,pia nimesoma sakina institute of information technology, kwa kipindi chote hicho nilichilokulia Arusha naweza nikasema hakuna sehemu panzuri kama arusha,na feel proud kuzaliwa A.town(Geneva of East africa), maisha ya arusha sio magumu kama watu wanavyosema,kama unauhakika wakupata doo kila siku utahama arusha,watu wa kule wapiga business kweli kama utajichanganya vyema utakosa doo, ukitaka kufanikiwa arusha fanya biashara hiii.
Tafuta viatu vya mtumba mkali, jeans kali makoti makali,shati dog dog og kabisa,makobasi ya maana fungua goli lako maeneo kama sanawari, ilboru, mianzi, sakina, kijenge, sekei na maeneo yaliochangamka.
Watu wa arusha wanapenda kuvaa vinzuri,kama unajua ngeli jichanganye kwenye utalii utajuta hata siku moja.
View attachment 2364815
View attachment 2364816
View attachment 2364817
View attachment 2364818
View attachment 2364819