ARUSHA.......... Ntarudi tena wallah!!!!!

Poa lakini usiingie mtini kama kawaida yako.

hahahahahahhaaaaaaaaaaaaaaa!...usijali mkuu,...unajua kazi ya kubrash viatu inanifanya nikose muda wa ku-party....ntalifanyia kazi
 

Babu hebu fafanua hiyo bar hapo kwenye bold!!:coffee:
 
Babu hebu fafanua hiyo bar hapo kwenye bold!!:coffee:

usichoelewa nini sasa?.....anyway_Mtoni Temeke Kuzuri Bar,...ipo maeneo ya mianzini,..totoz za kuhudimia ziko poa
 
usichoelewa nini sasa?.....anyway_Mtoni Temeke Kuzuri Bar,...ipo maeneo ya mianzini,..totoz za kuhudimia ziko poa
Mkuu utanifanya nichukue emergency leave......
 
<br />
<br />
Asante babu, ntakutafute jioni nikifungulia tunywe mibia,bar gani inafaa mkuu?
Boko Basihaya pale kuna baa inaitwa Ettiennes....... Yule kaunta anaitwa Oddo ukifika mwambie akupe bia kwa bili ya ODM
 
Waneniudhi hawajakupeleka kwa nicky, ukale misamaki ya foil loooo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…