Kwani inatakiwa iweje mkuu? Ebu tupe darasa angalau kwa uchache!!
huyo mwakasege wenu mnaemuona mtu wa Mungu nae ni wale wale anawapotosha mengi sana, kwa upofu wenu mtaendelea kumuani mpka lin?
kawadanganya kuhusu taifa la Mungu kuwa ni israel ile ya watu weupe pale middle east, je angekuwa na Mungu kwel angeshindwa kutambua up ukwel?
kawadanganya kuhusu kuomba kwa kutumia damu ya yesu, ktk imani ya kwel hutakiwi kuamini wala kutegemea damu ya kiumbe yeyote yule maana unakuwa sawa na wake waganga wa matambiko wanaohitaji damu kwenye manuiz yao, sas huyu tapel wenu anawafunza kitu gani?
huyu pia hufundisha kuhusu kubariki wale waisrael na kuwaombea, kiundani taifa lenyewe israel hatambui kuwa ni afrika kama historia za kwel znavyoproof, sas yeye na uyo Mungu wake kashindwa kuthibitisha tumuanminije?
huyu pia amekuwa chanzo cha watu kumuabudu yesu badara ya kuwafundisha watu anaepaswa kuabudiwa ni mmoja tu Yaan Muumba wakweli, huyo yesu wake si Mungu na hana sifa ya uungu.
huyo mwalimu wenu pia anakashfa za kumnanilii yule muimbaji maarufu aliefia huko israel mwaka fulani, sas hii nalo linakaaje?
huyo mwalimu wenu amekuwa akipotosha sana biblia bila ya wafuasi wake kujua, yaan ukishakuwa mfuasi wa huyo jmaa jihesabu kama ushakuwa zezeta ama msukule, mimi nina ushahidi wa hawa wafuasi wake wanavyokuwa baada ya kumuamin huyo tapeli.
kuna mengi ya kuwaproov hao matapel, lkn nisipoteze muda kwa kuwaambia tu, kipindi hiki hakuna nabii na hatowai kuwepo tangu wale manabii waliokuwepo kutwaliwa, na hao manabii woote waliishi barani afrika ilipo israel ya kwel ya watu weusi, hayo mashetani yanayowaingia watu wanaojiita manabii ndyo huwapa nguvu za uongo(roho mtakafujo) na ndyo huwatumia hawa manabii kupotosha ukwel wa asili,,
yeyote anaekwambia Mungu anaishi mbinguni huyo ni muongo, je kabla hajaumba mbingu&nchi alikuw wap?
yeyote anaewapa vibendera vya israel fek kuombea na kuviweka majumban kwenu huyo nae tapeli
yeyote anaefundisha mafundisho ya uungu3 huyo nse tapeli
yeyote anesema yesu aabudiwe huyo nae tapeli, kiufupi tu yesu hayupo na hatowai kuwepo, zaid ni uwepo wa pepo azazel/zeus lililobadilishiwa utambulisho huo mwaka 325 during nancea meeting na kumtambulisha zeus mpya kwa jina la yesu, huyu mpuuz aliiba historia ya mzee wetu aliyewai kuish Africa na ndye aliyepaswa kupewa sifa mnazompa huyo zeus wenu, maana huyu mzee wetu aliibiwa historia yake na kuipachika kwa ilo pepo lenu
biblia zenu japo zmechakachuliwa lkn bado znatoa maandiko yanayosema kipnd cha mwsho watu watamsahau Muumba wao na kuabudu makristo ya uongo pamoja na wapinga kristo, wapinga kristo ni watu wa dini zote wanaopinga ukuu wa muafrika, maana muafrika ndye kristo .
ukwel unauma acha uwaume, walokole haya mambo hawayapendi